Radio Tadio

Elimu

15 Febuari 2023, 10:41

Adaiwa fedha watoto wafutwe shule

Na Benard Magawa. Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani ikiendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu ya Msingi na Sekondari bila malipo ili kutokomeza kabisa uwepo…

10 Febuari 2023, 15:07

Wazazi wamekubaliana kuchangia lishe shuleni

Na Katalina Liombechi Wazazi wa watoto wanaosoma katika Shule ya msingi Ifakara katika Kata ya Viwanjasitini Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekubaliana kuchangia lishe kwa watoto pindi wanapokuwa Shuleni ikiwa ni njia ya kukuza Ufaulu Shuleni hapo. Katika Makubaliano hayo…

8 Febuari 2023, 14:42

Idara ya afya Watakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi Kongwa

Watumishi wa idara ya Afya wilayani Kongwa wametakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi zinazoendana na ubora wa miundombinu. Na Bernad Magawa. Donald Mejiti mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi Taifa kutoka mkoa wa Dodoma ameyasema hayo alipotembelea wilayani…

8 Febuari 2023, 12:11 um

Wazazi Ambao Hawajawapeleka Watoto Shule Wachukuliwe Hatua

ATAVI Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka viongozi kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao wamefaulu kujiunga na kidato cha kwanza lakini bado hawajaripoti shuleni hadi hivi sasa Ameyasema hayo Februarymosi 2023, katika kilele cha maadhimisho…

6 Febuari 2023, 17:33

Shule ya Msingi Idifu yashindwa kuhimili wingi wa wanafunzi

Walipokea ahadi kupitia mfuko wa jamii TASAF lakini kutokana na kukosekana kwa utekelezaji imechangia kuwavunja moyo wananchi katika eneo hilo. Na Victor Chigwana Uchakavu na uchache wa madarasa katika shule ya Msingi Idifu  imetajwa kushindwa kuendana na Idadi ya wanafunzi…