Elimu
28 Febuari 2023, 17:21
Wanafunzi watembea zaidi ya kilomita 28 kufuata shule
Serikali imeombwa kusaidia kukamilisha ujenzi wa shule ya sekondari ili kurahisha upatikanaji shule hali itakayopunguza gharama kwa wazazi wanaosomesha watoto . Na Victor Chigwada Wanafunzi wa kata ya chiboli wilayani chamwino wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya km 28…
28 Febuari 2023, 16:27
Nollo kumwaga Madawati 800 shule za Msingi
Halmashauri ya wilaya ya Bahi ambayo kwa miaka mitatu mfululizo imekuwa na sifa kubwa katika idara ya elimu Msingi. Na Bernad Magawaa MBUNGE wa Jimbo la Bahi . Kenneth Nollo ameahidi kutoa madawati 800 ikiwa ni sehemu ya kuanza kupunguza…
27 Febuari 2023, 15:33
Bahi wajipanga kutinga tano bora matokeo darasa la saba kitaifa
Mheshimiwa Godwin Gondwe akiongoza wadau wa elimu wilayani Bahi katika hafla ya kufanya tathmini ya elimu na kutoa tuzo kwa shule, walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma. Na Benard Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaongoza wadau…
22 Febuari 2023, 19:40
Nimefurahishwa na miradi ya kimaendeleo – Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…
22 Febuari 2023, 17:38
Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…
20 Febuari 2023, 18:00
Marufuku walimu wa kiume kutumika kusindikiza magari ya shule (School bus)
KATIKA kukabilina na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto nchini mkoa wa Dodoma umepiga marufuku walimu wa kiume kutumika kusindikiza magari ya shule (School bus) na kuanzia sasa wanawake pekee ndiyo watakao husika na jukumu hilo. Na Alfred Bulahya.…
17 Febuari 2023, 11:00
Wanafunzi Shule ya Msingi Migongo wapatiwa Elimu ya Usalama Barabarani.
Masasi Kamati ya Usalama Barabarani kitengo cha elimu, mafunzo na uenezi kwa umma kimeendelea kutoa elimu katika makundi mbalimbali ya Wilaya hiyo, ambapo mapema wiki hii imetoa elimu Shule ya Msingi migongo Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Akizungumza katika kutoa elimu…
17 Febuari 2023, 10:53
Idara ya Elimu Msingi Bahi yazidi kung’ara
Na Benard Magawa Ikiwa imetimu takribani zaidi ya miezi miwili tangu kutangazwa kwa matokeo ya darasa la saba hapa nchini Disemba mwaka 2022 ambayo yaliweka historia mpya kwa wilaya ya Bahi baada ya wilaya hiyo kuwa kinara mfululizo kwa miaka…
16 Febuari 2023, 1:52 um
Kamati ya Fedha Makete yakagua miradi ya Zaidi yha Bilioni 1.5
miradi ya zaidi ya bilioni 1.5
16 Febuari 2023, 6:10 mu
Umaskini Wachangia Elimu Kuwa Chini Katavi
KATAVIUmaskini, uelewa mdogo wa Wazazi na Walezi ni miongoni mwa sababu zinazoelezwa na baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda kupelekea Elimu kuwa Chini katika mkoa wa Katavi. Wakizungumza na Mpanda Radio wakati wakitoa maoni kuhusu ubora wa elimu Wananchi…