Radio Tadio

Elimu

27 Julai 2023, 4:40 um

Atuhumiwa kumbaka, kumpa ujauzito mwanae wa kambo

Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…

21 Julai 2023, 15:10

Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini

Ziara hiyo ambayo ilianzia shule ya sekondari Chilonwa kwaajili ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa na Mabweni ilihitimishwa shule ya Msingi mizengo pinda ambapo benki ya NMB ilikuwa ikikabidhi vifaa mbalibali vya ujifunzaji shuleni hapo iliwemo viti na vifaaa…

13 Julai 2023, 16:10

Shule ya sekondari Amani Abeid yamkosha Senyamule

Wanafunzi wametakiwa kusoma kwa bidii ili kukutana na fursa nyingine za kielimu. Na Fred Cheti Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekoshwa na ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume iliyopo katika kata ya Pahi…

12 Julai 2023, 15:07

Mwenge wazindua madarasa tisa Chitengule sekondari

Mbio za mwenge kitaifa bado zinaendelea mkoani mara leo mbio hizo zipo halmashauri ya wilaya ya Bunda ambapo miradi takribani 7 imetembelewa katika hatua za uwekaji wa jiwe la msingi na mingine kuzinduliwa. Na Thomas Masalu Mwenge wa uhuru 2023…