Radio Tadio

Elimu

14 Septemba 2023, 9:04 mu

Changamoto za maisha isiwe chanzo cha utoro mashuleni

Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…

Septemba 13, 2023, 2:51 um

Wazazi Nyahanga wahamasishana ujenzi wa vyoo shuleni

Na Paul Kayanda-Kahama WAZAZI na walezi katika Mtaa was Nyahanga Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, wameombwa kuhamasika katika suala la uchangiaji wa ujenzi wa choo cha wavula kulingana na upungufu mkubwa uliopo. Kaimu mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi…

Septemba 11, 2023, 9:46 mu

Viongozi wa shule wapewa mafunzo ya manunuzi

Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Nyasa wapatiwa mafunzo kuhusu manunuzi ya umma. Na Sichali Netho Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Septemba 9, 2023 imetoa mafunzo ya mfumo wa manunuzi wa umma (NeST) kwa wataalam kutoka shule za…