Elimu
15 Septemba 2023, 7:12 mu
Zaidi ya wananchi 1500 wafikiwa na elimu ya malezi
Program jumuishi ya malezi, makunzi na maendeleo ya awali ya mtoto ilizinduliwa mwaka 2021 na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo wadau mbalimbali wanatekeleza program hiyo. Na Mariam Matundu. Zaidi ya wananchi elfu moja na…
14 Septemba 2023, 4:53 um
ZEC kutoa tarehe ya uchaguzi mdogo Mtambwe
Kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wa jimbo la mtambwe Habibu Ali Mohamed, tume ya uchaguzi Zanzibar imeamua kufanya uchaguzi mdogo kuziba nafasi hiyo iliopo wazi na wadau wote wa uchaguzi wanatakiwa kushiriki kukamilisha uchaguzi huo kama ilivyokusudiwa. TUME ya Uchaguzi…
14 Septemba 2023, 3:58 um
Vipindi vya elimu Redioni vitaengeza ufaulu Sekondari.
Vipindi vya elimu vya redio zinasaidia kuengeza ufauli kwa wanafunzi hasa wa sekondari ni vyema wazazi na walimu kushirikiana kwa pamoja kuwahimiza watoto wao kufuatilia vipindi hivyo kwa lengo la kuengeza ufaulu. Na Fatma Rashid. Meneja wa mradi wa Secondary …
14 Septemba 2023, 13:39
Zimamoto Mbeya yawafikia wafanyabiashara sokoni na kutoa elimu ya kuzima moto
Elimu ni msingi wa kuongeza maarifa na ili uwe na amaarifa huna budi kuifunzz kwa waliofanikiwa kutkana na umhimu wa elimu jeshi la zimamoto haliko mbali na wananchi katika kuwapatia elimu pasipo kubagua rika,rangi,kabila wala umbo la mtu. Na Ezra…
14 Septemba 2023, 9:04 mu
Changamoto za maisha isiwe chanzo cha utoro mashuleni
Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…
Septemba 13, 2023, 2:51 um
Wazazi Nyahanga wahamasishana ujenzi wa vyoo shuleni
Na Paul Kayanda-Kahama WAZAZI na walezi katika Mtaa was Nyahanga Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, wameombwa kuhamasika katika suala la uchangiaji wa ujenzi wa choo cha wavula kulingana na upungufu mkubwa uliopo. Kaimu mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi…
13 Septemba 2023, 1:16 um
Wazazi, walezi watakiwa kuwa karibu na wanafunzi wakati wa mitihani
Wanafunzi wa darasa la saba wanatajia kufanya mitihani kote nchini hivyo jamii imeshauriwa kuwa sehemu ya watoto hao wakati wote ili wanafunzi waweze kufanya vizuri. Na Bahati Obel – Rungwe, Mbeya Wazazi na walezi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kuhakikisha…
Septemba 12, 2023, 12:22 um
mbunge Festo Sanga akabidhi fedha shule ya msingi unenemwa
kutokana na uchakavu wa madarasa katika shule ya msingi unenamwa ilioko kata ya luwumbu mbunge wa jimbo la makete Mh Festo Sanga amekabidhi shilingi laki 5 na elfu sabii. na Lulu Samson MBUNGE wa jimbo la makete mh festo sanga…
12 Septemba 2023, 11:11
Ukosefu wa mwalimu wa kike wawa kero kwa wanafunzi shule ya msingi Ilota Mbeya
Meneja wa radio Baraka Charles Amulike akiwa anatoa msaada wa vifaa vya shule katika shule ya msingi Ilota Mbeya vijijini (picha Hobokela Lwinga) Vyombo vya habari vimekuwa vikiaminiwa kuwa na mchango wa kuibua changamoto mbalimbali katika jamii kutokana na hilo…
12 Septemba 2023, 10:58
Jinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio
Wandishi wa habari nyanda za juu kusini,wametakiwa kutumia Radio mtandao ili kufikisha habari kwenye jamii.na kuweza kuwafikia wadau kutoka sehemu mbalimbali nje na ndani ya Tanzania pamoja na kujipambambanua katika masoko ili kuinua uchumi kwenye vyombo vyao vya habari Na…