Ajali
16 February 2023, 12:31 pm
Aliyepambana na mamba kwa dakika 15 majini asimulia alivyonusurika
Boniface Nkwande mkazi wa Buzimbwe kata ya Bulamba Halmashauri ya wilaya ya Bunda Mkoani Mara anaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya DDH Bunda baada ya kushambuliwa na mamba na kujeruhiwa mkono wake wa kulia. Akisimulia tukio hilo amesema lilitokea jumamosi…
14 February 2023, 10:35 am
Mama mwenye mtoto wa miezi miwili, akatika mguu ajali ya Basi
Hellena Emmanuel(23) mkazi wa Mwanza ni miongoni mwa abiria waliojeruhiwa vibaya kwenye ajali ya basi la Afrika Raha iliyotokea tarehe 12 Feb 2023 majira ya saa 9 alasiri eneo la Mwibagi Wilaya ya Butiama mkoani Mara Akizungumza na Radio Mazingira…
8 February 2023, 12:30 pm
Nyumba 50 Zaharibiwa na Mvua Mwamkulu
MPANDA Nyumba 50 Zimeharibiwa huku kaya 47 zikikosa makazi katika kata ya Mwamkulu Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Kufuatia Mvua iliyonyesha January 31 ,2023 Wakizungumza na Mpanda redio FM Wahanga wa tukio hilo wamesema kuwa mvua hiyo imeleta uharibifu mkubwa…
23 January 2023, 10:36 am
Watoto watatu wa familia wateketea kwa moto
Watoto watatu wa familia ya BI Karesma Theodory wa wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na Bibatari. Tukio hilo lililoibua simanzi, lilitokea usiku kijijini humo kwa kile kinachodaiwa chanzo ni kibatari ambacho…
6 January 2023, 9:11 am
Wahanga wa shambulio la paka wa ajabu wapata ahueni.
Na Nicolaus Lyankando: Wananchi walioshambuliwa na Paka wa ajabu akiwemo Mtoto mwenye umri wa miaka (5) katika kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani Mbogwe Mkoani Geita wanaendelea vizuri baada ya kupata matibabu. Tukio hilo limetokea hivi karibuni katika Kitongoji…
29 December 2022, 7:55 pm
Afariki dunia baada ya kusombwa na maji akivuka mto
Na Mrisho Sadick : Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Benjamini John mwenye umri wa miaka (30) Mkazi wa Kata ya Kasamwa Halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kwenye mto kwenda…
May 25, 2022, 11:00 am
BASI LA RUKSA CLASS LAUA WATU WATATU NA KUJERUHI WANNE KAHAMA
Watu watatu wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali ya Basi la Abiria kampuni ya RUKSA CLASS baada ya kupinduka katika Kijiji cha Kayenze halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa jeshi…
26 April 2022, 7:24 pm
apoteza maisha akitajwa kufukiwa na kifusi kwenye machimbo ya kokoto :Bunda
Machimbo ya kokoto Manyamanyama Mwanamume mmoja aliyetambulika kwa jina la James Mathias 40 mkazi wa Manyamanyama Halmashauri ya Mji wa Bunda amepoteza Maisha akitajwa kufukiwa na kifusi wakati akichimba kokoto kwenye machimbo ya kokoto Manyamanyama. Wakizungumza na Mazingira Fm mashuhuda…
22 April 2021, 3:46 pm
Rais Samia akusudia kukutana na viongozi wa kisiasa
Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…
22 April 2021, 8:39 am
Watanzania wanatarajia nini kwenye hotuba ya Rais Samia ?
Na; Mariam Kasawa Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani. Hii itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo tangu aapishwe kuwa Rais Machi…