Afya
4 Aprili 2023, 3:48 um
Ufahamu ugonjwa wa P.I.D
Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.
3 Aprili 2023, 2:57 um
Wazee wa Kimila washirikiana na wataalamu wa afya kuhamasisha chanjo ya Uviko-19…
Viongozi wa Kimila Mkoani Iringa wametajwa kuwa sababu ya wananchi kujitokeza kupata chanzo ya Uviko-19. Na Ashura Godwin Wananchi Mkoani Iringa wameanza kuwa na mwamko wa kupata chanjo ya uviko-19 baada ya kupata elimu na hamasa kutoka kwa viongozi wa…
30 Machi 2023, 7:23 um
Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo
Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…
30 Machi 2023, 6:52 um
Zaidi ya wananchi 2249 wapatiwa elimu ya kujikinga na MARBURG
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imefanikiwa kufikia makundi mbalimbali ya watu ikiwemo wahudumu wa afya ngazi jamii na Wahudumu wa Afya Vituoni. Na Mindi Joseph. Elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Marburg imeendelea kutolewa kwa kila mtanzania…
30 Machi 2023, 3:38 um
Wananchi Tanganyika waomba elimu ya afya ya meno na kinywa
KATAVI Baadhi ya wananchi wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wameomba kupatiwa elimu ya afya ya kinywa na meno kabla ya kupata athari. Wakizungumza na Mpanda radio Fm wamekiri kupata huduma bora ya afya ya meno huku wakiomba serikali kutoa elimu…
30 Machi 2023, 12:26 um
Wananchi washauriwa kukamilisha dozi ya chanjo ya Uviko-19
Ni muhimu kwa jamii kupata dozi mbili za chanjo ya Uviko-19 ili kukabiliana na Maambukizi mapya ya Virusi vya Corona. Na Ashura Godwin Idara ya Afya mkoa wa Iringa imewataka wananchi kujitokeza katika vituo vya afya ili kupata na kukamilisha…
29 Machi 2023, 7:07 um
Wananchi wagomea ujenzi wa kizimba cha taka-Ifakara
Wananchi wa Mtaa wa Viwanja Sitini A katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamegomea ujenzi wa kizimba cha taka kwenye eneo la makazi wakidai kuwa inaweza kuleta athari za kiafya Na Katalina Liombechi Wakazi wa Mtaa wa Viwanjasitini A katika…
29 Machi 2023, 10:13 MU
Jamii ya wafugaji Lukuledi wakosa chanjo ya UVIKO 19
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi inayosababisha jamii za wafugaji kuhamahama kutafuta malisho kumechangia kwa kiasi kikubwa kupelekea jamii kukosa kupata baadhi ya huduma za kijamii Hayo yamesema na baadhi ya Jamii ya wafugaji ambao wanafanya shughuli zao za ufugaji…
28 Machi 2023, 16:26 um
Kipindi: Wanawake wahamasishwa kupima saratani ya mlango wa kizazi
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
27 Machi 2023, 5:28 um
Wananchi waomba elimu zaidi ya kifua kikuu
Mpanda Zikiwa zimepita siku chache tangu yafanyike maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani Baadhi ya wakazi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa hawana uelewa juu ya ugonjwa huo na kuitaka serikali kuongeza jitihada za kutoa elimu. Wakizungumza na…