Radio Tadio

Afya

10 May 2022, 2:02 pm

Vyuo vya Afya 20 kuchukuliwa hatua kwa kufanya udanganyifu

Na:Mindi Joseph. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Abel Makubi ameagiza NACTVATE kuvi chukuliwa hatua Vyuo 20 vya afya vilivyokaguliwa na kufanya udanganyifu ili kulinda viwango vya taaluma ya afya Nchini. Akizungumza…

30 April 2022, 06:42 am

Masasi yazindua kampeni ya chanjo ya Polio kwa Watoto

Na Gregory Millanzi. WILAYA ya Masasi mkoani Mtwara imezindua rasmi Kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya ugonjwa wa Polio kwa watoto zaidi ya 55,234 walio chini ya miaka mitano lengo likiwa ni kuwakinga dhidi ya maambukizi ya virusi…

15 November 2021, 3:02 pm

COP 26: Hatua za muhimu bado Vitendawili.

Kuanzia October 31 hadi Novemba 13 mwaka huuu Viongozi mbalimbali wamekutana nchini Scotland   Kushiriki katika Mkutano unaofahamika kwa jina COP ikiwa mwaka huu ni COP26. Tanzania ikiwakilishwa na VIONGOZI mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

31 July 2021, 15:18 pm

Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki

Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…

26 March 2021, 8:13 am

Uwajibikaji wa Vijana ni matunda ya kumuenzi Rais Magufuli

Na; Selemani Kodima Vijana Nchini wametakiwa kuendelea kuwajibika na kuonesha Uzalendo katika Majukumu yao ili kuenzi uzalendo ambao uliooneshwa na Hayati Rais Magufuli wakati wa Utawala wake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi   Mtendaji wa  Taasisi ya maendeleo ya Vijana Dodoma DOYODO…