Afya
4 May 2023, 4:09 pm
Zifahamu sifa za watoto wenye Usonji
Dkt Arapha Aragika kutoka hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe. Picha na Yussuph Hassan. Watoto wenye usonji pia wanazo sifa mbalimbali kama anavyo ainisha Dkt. Arapha. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia sifa za watoto wenye usonji, tukiungana…
3 May 2023, 1:25 pm
Ukosefu wa elimu ya Afya ya uzazi kwa vijana wachangia ukatili
Ameeleza nini kifanyike ili kusaidia kundi hilo la vijana kupata elimu hiyo. Na Alfred Bulahya Imeelezwa kuwa kukosa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ni miongoni mwa sababu inazosababisha kuendelea kwa vitendo vya ukatili ndani ya jamii. Hayo yameelezwa…
2 May 2023, 1:43 pm
Je Usonji ni nini
Je usonji ni nini na husababishwa na nini. Na Yussuph Hassan. Usonji ni tatizo linalojitokeza mapema utotoni, ambapo mtoto huwa na mapungufu kwa kupenda kujitenga na kutotaka kuwa karibu na watu. Usonji ni ugonjwa unaonekana kwa watoto kuanzia mwaka mmoja…
27 April 2023, 6:13 pm
Wasimamizi ujenzi wa kituo cha Afya Nkuhungu wapewa wiki tatu kukamilisha
Kituo hicho pindi kitakapokamilika kinatarajia kuhudumia zaidi ya wananchi elfu 40 wa kata ya Nkuhungu. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabir Shekimweri amewataka wasimamizi wa ujenzi wa mradi wa kituo cha afya Cha Nkuhungu ndani ya…
27 April 2023, 5:58 pm
Surua Yawatia Hofu Wakazi wa Dirifu
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dirifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwapa elimu juu ya ugojwa wa surua ambao unasambaa katika kijiji hicho. Wakizungumza na Mpanda redio fm wananchi wameainisha kuwa baadhi ya familia katika…
27 April 2023, 3:41 pm
Yafahamu matibabu ya Ugonjwa wa surua
Mratibu wa Huduma za Chanjo Halmashauri ya Jiji la Dodoma Victor Kweka leo anazungumzia matibabu ya ugonjwa huo. Yussuph Hassan. Bado tunaendelea kufahamu kwa kina juu ya ugonjwa wa surua, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata…
25 April 2023, 4:58 pm
Dalili za ugonjwa wa Surua
Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote, husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. NaYussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambapo inaelezwa kuwa dalili zake zinaweza…
24 April 2023, 1:49 pm
Ufahamu ugonjwa wa surua na maambukizi yake
Ugonjwa huu husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. Na Yussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote. Mratibu wa Huduma…
22 April 2023, 9:28 am
Wananchi Waaswa Kutumia Vituo vy Afya.
MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuacha mila potofu ya kufuata huduma za matibabu kwa waganga wa kienyeji badala yake wajenge tabia ya kuvitumia vituo vya kutolea huduma za afya vinavyojengwa na serikali katika maeneo yao . Wameyasema…
20 April 2023, 3:28 pm
Chakula bora ni kinga dhidi ya Ukoma
Mtaalamu wa Afya anasisitiza kama mtu atazingatia lishe bora ataepuka maambukizi ya ugonjwa huu wa ukoma. Na Yussuph Hassan. Ulaji wa chakula bora ni moja kati ya tiba ya kuepukana ugonjwa wa ukoma.