Afya
3 Julai 2023, 12:23 um
Huduma usafiri wa dharura kwa wajawazito yazinduliwa Geita
Tatizo la vifo vya wanawake wajawazito na watoto mkoani Geita bado ni kubwa na kutokana na changamoto hiyo serikali imekuja na njia mbadala ya kupunguza tatizo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetenga kiasi cha shilingi milioni 218 kwa…
29 Juni 2023, 10:45 um
Waganga tiba asili, mbadala waagizwa kuzingatia maadili
Waganga wa tiba asili na tiba mbadala mji wa Ifakara – Picha na; Isidory Mtunda Waganga wa tiba asili na tiba mbadala halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameagizwa kufanya huduma ya kuponya wagonjwa na kuachana…
Juni 23, 2023, 12:59 um
Wito: Wanaume ongozaneni na wenzi wenu kliniki
Elimu ya Lishe ikitolewa kwa wazazi na walezi Kijiji cha Maleutsi
Juni 23, 2023, 8:10 mu
Ushauri: Zingatieni lishe bora kwa watoto
Wazazi na walezi kijiji cha Ihela Kata ya Tandala wilayani Makete wamekumbushwa namna ya kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuhakikisha wanakuwa na Afya imara. Akizungumza na Wazazi na walezi wa kijiji hicho tarehe 21 Juni, 2023 Bi. Jackline Nanauka…
22 Juni 2023, 5:20 um
Fahamu jinsi uchunguzi wa utapiamlo unavyofanyika
Na Yussuph Hassan. Afisa lishe juma swedi anazungumzia utambuzi wa utapiamlo unavyofanyika katika vituo vya afya.
22 Juni 2023, 2:15 um
Maswa: Zaidi ya wananchi Mia Tatu wamepata chanjo ya covid-19 wilayani Maswa mko…
Kwenye picha ni mkuu wa kitengo cha Usafi,Afya na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi Mia Tatu Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
22 Juni 2023, 8:29 mu
Ugonjwa wa ajabu wamtesa Fikiri anaomba msaada wa Matibabu
Na Zubeda Handrish: Fikiri Manyilizu mwenye umri wa miaka (31) Mkazi wa Muleba Mkoani Kagera amemuomba Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu msaada wa matibabu baada ya kuugua ugonjwa wa ajabu ambao umemsumbua kwa muda mrefu. Fikiri anasema katika familia…
21 Juni 2023, 4:54 um
Jamii yahimizwa kutumia maziwa kwa wingi kujenga afya
katika kuadhimisha wiki ya utumishi wa umma bodi ya maziwa imefika katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kutoa elimu ya umuhimu wa kutumia maziwa salama pamoja na kugawa maziwa katika baadhi ya wodi za wagonjwa…
Juni 21, 2023, 7:47 mu
Hospitali wilaya Makete yapokea jokofu la kuhifadhia maiti
Mapokezi ya Jokofu la kuhifadhia Maiti Hospitali ya Wilaya ya Makete
16 Juni 2023, 7:20 um
Wananchi Dilifu wajitokeza kuchangia damu
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dilifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamejitokeza kuchangia damu katika kuadhimisha siku ya Wachangiaji damu Duniani. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm wananchi hao wamesema kuwa wameamua kutoa damu ili kuweza kuwasaidia wanaohitaji…