Afya
23 Oktoba 2023, 9:18 mu
UWT Bunda watembelea wagonjwa hospitali ya Manyamanyama
UWT Bunda watembelea hospitali ya Manyamanyama-Bunda kuonesha matendo ya huruma kwa wagonjwa katika kuadhimisha kilele cha wiki ya UWT Na Edward Lucas Maadhimisho ya wiki ya Wanawake UWT Wilaya ya Bunda mkoa wa Mara yamefikia kilele hapo jana 22 Oct…
Oktoba 22, 2023, 7:40 mu
Wananchi Ileje wajitolea kujenga nyumba ya mtoa huduma wa afya
Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Izuba kata ya Isongole wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wanatarajia kumaliza ujenzi wa vyumba ya wahudumu wa zahanati ya Izuba ili kuwaondolea adha wahudumu wa zahanati hiyo kuishi mbali. Hayo yamebainishwa…
18 Oktoba 2023, 6:30 um
Madereva waonywa kupakia dizeli, petroli kwenye usafiri wa umma
Changamoto ya baadhi ya wasafirishaji kuruhusu kupakia chupa zenye mafuta ya dizeli na petroli kwenye vyombo vyaio imekuwa kero kwa abiria mkoani Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya abiria wanaotumia magari madogo ya abiria aina ya hiace yanayofanya safari…
18 Oktoba 2023, 9:14 mu
Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari
Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…
Oktoba 17, 2023, 1:16 um
Wananchi watakiwa kuwa makini na matangazo ya biashara ya dawa, vifaa tiba
Kutokana na wafanyabiashara kutumia matangazo kufanya bidhaa yake ijulikane na kushawishi watumiaji kutumia bidhaa hiyo TMDA inahakikisha matangazo hayo yanayohusiana na dawa, vifaa tiba na vitendanishi hayana taarifa za upotoshaji. Na Rose Njinile Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Makete mkoani…
15 Oktoba 2023, 10:11 mu
Wakazi wa Mlimba wapokea huduma za kibingwa za afya kwa furaha
Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za kibingwa -Picha na Isidory Matandula Madaktari bingwa wa mfumo wa mkojo na ENT (Ear, Norse and Throat) kutoka hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Fransisko, Ifakara, wiki hii wametoa huduma za kibingwa katika Kituo cha…
15 Oktoba 2023, 6:59 mu
Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita
Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…
13 Oktoba 2023, 13:25
Wananchi Kakonko wakabiliwa na changamoto ya huduma za afya
Na Jame Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyakivyiru wilayani Kakonko mkoani Kigoma wameiomba halimashauri ya wilaya hiyo kuwajengea zahanati ili kuepuka kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 30 kufuata huduma za afya hali ambayo hupelekea vifo hasa kwa akina mama…
13 Oktoba 2023, 11:40 mu
Mkurugenzi afunguka sababu ya zahanati ya Kung’ombe kutoanza kazi hadi sas…
“Takribani shilingi milioni 16 zinahitajika kufanyia maboresho baadhi ya mambo katika zahanati ya Kung’ombe na kufikia mwezi Disemba 2023 itaanza kutoa huduma” Na Edward Lucas Kufuatia kilio cha wananchi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda juu ya…
12 Oktoba 2023, 5:14 um
Miezi 3 tangu zahanati izinduliwe haijaanza kazi, wananchi wapaza sauti
Zahanati ilizinduliwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Julai 11 2023 lakini hadi sasa Oktoba 2023 bado haijaanza kazi, wananchi wapaza sauti kwa serikali. Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara wameiomba…