Uvinza FM
Uvinza FM
7 September 2021, 8:17 pm
Na,Glory Paschal Licha ya Kuundwa Jumuiya za watumia maji katika baadhi ya kata Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa lengo la kutoa taarifa ya uharibifu wa miundombinu ya maji katika mradi wa Maji wa Mkongoro Namba mbili bado uharibifu unaendelea. Hayo…
6 September 2021, 4:31 pm
Na,Mwanaid Suleiman Baadhi ya waendesha bajaji wilayani uvinza mkoani kigoma wamesema kuwa ugumu wa maisha hupelekea kubeba abiria zaidi ya watatu kwenye bajaji licha ya kwenda kinyume na sheria za barabaarani Hayo yamebainishwa na bw ALLY MOHAMED pamoja na ATHUMANI…
3 September 2021, 5:57 pm
Na,Glory Paschal Dawa ya kupunguza Makali ya virusi vya UKIMWI imeanza kutolewa kwa miezi sita kwa wagonjwa wenye maambukizi ili kusaidia kupunguza makali ya virusi hivyo. Hayo yamezungumzwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Saimon Chacha, nakusema wagonjwa…
2 September 2021, 5:51 pm
Na,Jacob Kapaya Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la JACKIAS KIPARA mkazi wa kijiji cha Ruchugi wilayani Uvinza mkoani Kigoma mwenye umri wa miaka 31 amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni. Kamanda wa jeshi la polisi…
25 August 2021, 5:56 pm
Na,Christina Daud Baadhi ya Wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari nguruka wilayani uvinza mkoani kigoma wanapata changamoto ya kuwa na walimu wa kike wa kutosha mashuleni kwa ajili ya kueleza shida zao hususani suala la hedhi wanapokua shuleni Wakizungumza…
19 August 2021, 4:45 pm
Na,Glory Paschal Wafanyabiashara katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameishukuru serikali kupitia mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuondoa vikwazo vya kufanya biashara vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo kubabikiziwa makadilio ya juu ya kodi na baadhi ya watumishi wasio waadilifu. Wamesema tangu…
19 August 2021, 4:34 pm
Na,Glory Paschal Shirika la afya Duniani, WHO limetoa msaada wa baiskeli 100 Mkoani Kigoma kwaajili ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii waliopo katika maeneo ya mipakani na katika kambi za wakimbizi ili kuimarisha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko Akikabidhi…
19 August 2021, 4:23 pm
Na,Glory Paschal Wazazi na Walezi Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshauriwa kutoruhusu watoto wao kusafirishwa kwenda kutumikishwa katika shughuli mbalimbali kinyume cha sheria Afisa Ustawi wa Jamii halmashauri ya wilaya Kakonko Bw. Mohamed Shauri amesema baadhi ya wazazi na walezi wamekuwa…
13 August 2021, 7:31 pm
Na,Rosemary Bundala Wafanyabiashara wa vyombo vya moto vya usafiri kutika kijiji cha Ruchugi wilayani uvinza mkoani kigoma wameiomba serikali kuwa tatulia suala la kupanda kwa bei ya mafuta kutokana na hali ya kiuchumi ilivyo kwasasa. Wakizungumza na redio uvinza fm…
12 August 2021, 4:31 pm
Na,Mwanaid Suleiman Wakazi wa kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kutataua changamoto ya maji inayowakumba katika kijiji hicho hasa katika kipindi cha kiangazi Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruchugi kuwa changamoto hiyo imekua…
Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.
Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.
This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.
96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.
VISION:
Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.
MISSION:
To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.
Radio uvinza fm