Uvinza FM
Uvinza FM
4 July 2023, 2:54 pm
Na Groly Kusaga Wanawake wengi wamekuwa wakikutana na changamoto mbalimbali zinazowakwamisha katika kutekeleza majukumu yao na kusahau kuwa wanawake wana uwezo wa kufanya mambo makubwa wanapopewa nafasi ndani ya vyombo vya habari na uongozi kwa ujumla.
4 July 2023, 11:27 am
Wananchi wa kata ya mwanga manispaa ya kigoma uiomba TARURA kurekebisha mitaro ya maji kulingana na adha wanayoipata ya kukatika kwa barabara wakati wa mvua Na Glory Kusaga KIGOMA. Baadhi ya Wananchi wa Mtaa wa Kilimahewa B Kata ya Mwanga…
3 July 2023, 12:55 pm
Kutokana na wanafunzi kutojiunga na masomo ya sekondari na wengine kuchelewa kujiunga na masomo, serikali yaahidi kuendelea na zoezi la kuwakamata wazazi wanaokiuka amri hiyo kwa kutumia sheria mbalimbali Na Glory Kusaga Changamoto ya baadhi ya wazazi kutokuwa na mwamko…
5 May 2023, 11:57 am
Na glory Kusaga Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma hususani wauzaji wa Mafuta ya mawese wameaswa kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo na kuacha kutumia kipimo cha bidoo kwani siyo kipimo sahihi na kinafanya Serikali kushindwa kukusanya kodi kwa usahihi na kufanya…
24 February 2022, 4:36 pm
Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…
12 January 2022, 7:01 pm
Na,Rosemary Bundala Mikutano ya kisheria katika halmashauri za vijiji imetajwa kuwa njia mojawapo ya kutatua matatizo pamoja na migogoro kwa wananchi Hayo yamezungumzwa na wanachi wa wilaya ya uvinza mkoani Kigoma Bwana VICENT LAZARO na Bi MWAMINI JUMA wakati wakizungumza…
5 January 2022, 5:44 pm
Na,Editha Edward Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa wa Kigoma zikiambatana na radi imepelekea ajali ya radi ambapo imepiga watu watano na kusababisha vifo Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma JAMES MANYAMA…
24 November 2021, 4:09 pm
Wanawake wajasiriamali Mkoani Kigoma wametakiwa kuunda vikundi, ili waweze kupatiwa mikopo na Serikali ili kuweza kendeleza shughuli zao na kujikomboa kiuchumi Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo Halmashauri ya wilaya ya Kigoma ZILIPA KISONZELA mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya…
24 November 2021, 3:59 pm
Na,Glory Paschal Mabomba ya Maji yenye thamani ya Shilingi milioni 600 yametolewa na Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, ambayo yanaanza kutandikwa katika kata kadhaa ikiwemo kata ya Bangwe Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bi. ESTER MAHAWE amesema hatua hiyo…
19 November 2021, 7:13 pm
Na,Glory Paschal Wananchi Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la Ujenzi wa vyumba 48 vya madarasa, ambavyo vinatakiwa kukamili ndani ya siku 45 Mkuu wa Wilaya ya Kigoma ESTER MAHAWE , akizungumza na wananchi wa kata ya…
Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.
Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.
This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.
96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.
VISION:
Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.
MISSION:
To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.
Radio uvinza fm