Recent posts
19 November 2025, 12:57 am
Wakulima Uvinza waomba fedha za kimataifa ziwafikie
Na. Abdunuru Shafii Karibu kusikiliza Makala fupi inayozungumzia kwa kina athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi katika kilimo nchini Tanzania, hususan katika Wilaya ya Uvinza na Mkoa wa Kigoma. Wakulima wamekuwa wakikumbana na mabadiliko yasiyotabirika ya mvua ikiwemo vipindi virefu…
10 November 2025, 10:18 am
Tanzania yaweka kipaumbele jinsia na tabianchi COP30
Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…
23 October 2025, 10:00 am
Mawakala wa vyama vya siasa wala kiapo Uvinza
“Sisi kama wasimamizi tunatamani Uchaguzi ufanyike kwa amani kwa kufata sheria na taratibu zote za uchaguzi kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi na kila mmoja afanye yale yanayomuhusu kwa kuzingatia amani na utulivu.” Na Theresia Damas Katika mwendelezo wa…
22 October 2025, 8:47 pm
Wananchi andamaneni kupiga kura sio kuvunja amani Kigoma
“Wananchi acheni kudanganyana kuandamana bila sababu za msingi bali mnatakiwa muandamane kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi sahihi.“ Na Theresia Damasi Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa kigoma Kamishna msaidizi mwandamizi Emmanuel Filemon Makungu amewataka wananchi wa mkoa wa…
20 October 2025, 6:54 pm
Hakikisheni mnafahamu vituo vya kupigia kura
wananchi mfike kwenye vituo vya kupiga kura ili kutambua mapema kama majina yenu yapo kwenye orodha Na Emmanuel kamangu Wananchi wilayani kasulu wamearifiwa kuhakikisha wanafahamu kwa wakati vituo watakavyopigia kura kabla ya siku yenyewe ya octoba 29 ambayo ni siku…
7 October 2025, 4:14 pm
Nipeni kura bima kwa wazee uhakika Uvinza
“Wazee wa Uvinza wengi hawana bima za msamaha hivyo kupata changamoto ya matibabu wanapopata maradhi nipe ridhaa ya kuwa diwani” Na Dunia Stephano Mgombea udiwani kata ya Uvinza kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Nillis Ntabaye amesema endapo atapewa…
2 October 2025, 7:11 pm
Wazee ni tunu tuwajali na kuwatunza
Wananchi wametakiwa kushilikiana na serikali katika kuibua changamoto ya unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika kwa wazee. Na Dunia Stephano Kaimu mtendaji ambaye pia ni Afisa maendeleo wa kata ya nguruka wilaya ya Uvinza Sarafina jonijo mapasi amewataka wananchi kushilikiana na serikali…
2 October 2025, 3:55 pm
Wananchi watakiwa kuiamini tume huru ya uchaguzi Uvinza
Hili ni zoezi la utoaji wa fomu za mfano za kuweka tiki kwa mgombea atakaye chaguliwa, ili iwe rahisi kutumika katika mikutano ya ugombea udiwani wakati wa kunadi sera zao. Na Dunia Stephano Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mtendaji…
1 October 2025, 11:40 am
Mahwa: Jimbo la Kigoma Kusini sio shamba la bibi
“Nitahakikisha naishauri serikali kurekebisha sheria na sera rafiki za uwekezaji ili vijana wanaosoma wapate ajira rasmi.” Eliya Mahwa Na. Theresia Damasi Mgombea wa ubunge jimbo la Kigoma Kusini kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA BW. Eliya Mahwa…
29 September 2025, 11:42 pm
Kisobwe: Nipeni udiwani changamoto za Uvinza naziweza
“Nina uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali ambazo zinawakabili wananchi wa kata ya uvinza nipeni ridhaa ya kuwa diwani wenu tukafanye kazi kwa maslahi ya Wanauvinza” Na Theresia Damasi Mgombea udiwani wa Kata ya Uvinza kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Himidi…