Recent posts
30 January 2026, 12:21 am
Baraza la lapitisha bajeti ya shilingi bilioni 51.05 Uvinza
bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…
18 January 2026, 4:14 pm
Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao
kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…
24 December 2025, 7:19 pm
Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…
22 December 2025, 9:26 am
Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma
sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…
19 November 2025, 12:57 am
Wakulima Uvinza waomba fedha za kimataifa ziwafikie
Na. Abdunuru Shafii Karibu kusikiliza Makala fupi inayozungumzia kwa kina athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi katika kilimo nchini Tanzania, hususan katika Wilaya ya Uvinza na Mkoa wa Kigoma. Wakulima wamekuwa wakikumbana na mabadiliko yasiyotabirika ya mvua ikiwemo vipindi virefu…
10 November 2025, 10:18 am
Tanzania yaweka kipaumbele jinsia na tabianchi COP30
Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…
23 October 2025, 10:00 am
Mawakala wa vyama vya siasa wala kiapo Uvinza
“Sisi kama wasimamizi tunatamani Uchaguzi ufanyike kwa amani kwa kufata sheria na taratibu zote za uchaguzi kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi na kila mmoja afanye yale yanayomuhusu kwa kuzingatia amani na utulivu.” Na Theresia Damas Katika mwendelezo wa…
22 October 2025, 8:47 pm
Wananchi andamaneni kupiga kura sio kuvunja amani Kigoma
“Wananchi acheni kudanganyana kuandamana bila sababu za msingi bali mnatakiwa muandamane kwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi sahihi.“ Na Theresia Damasi Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa kigoma Kamishna msaidizi mwandamizi Emmanuel Filemon Makungu amewataka wananchi wa mkoa wa…
20 October 2025, 6:54 pm
Hakikisheni mnafahamu vituo vya kupigia kura
wananchi mfike kwenye vituo vya kupiga kura ili kutambua mapema kama majina yenu yapo kwenye orodha Na Emmanuel kamangu Wananchi wilayani kasulu wamearifiwa kuhakikisha wanafahamu kwa wakati vituo watakavyopigia kura kabla ya siku yenyewe ya octoba 29 ambayo ni siku…
7 October 2025, 4:14 pm
Nipeni kura bima kwa wazee uhakika Uvinza
“Wazee wa Uvinza wengi hawana bima za msamaha hivyo kupata changamoto ya matibabu wanapopata maradhi nipe ridhaa ya kuwa diwani” Na Dunia Stephano Mgombea udiwani kata ya Uvinza kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Nillis Ntabaye amesema endapo atapewa…