Radio Tadio

vijana

26 June 2024, 6:20 pm

EWURA yawaonya wauzaji holela wa mafuta

Aidha amesema kuwa , moja kati ya changamoto iliyopo ni ukosefu wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka hiyo. Na Mariam Kasawa.Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati imeonya watu ambao wamekuwa…

December 7, 2023, 12:49 pm

Bodaboda Ndulamo wakabidhiwa viaksi mwanga

Katika kukabiliana na ajali za barabarani vijana bodaboda wametahadharishwa kuwa makini wanapokuwa barabarani wakati wa usiku wakijitafutia kipato kutokana na matukio mbalimbali yanayotokea ya kiuharifu na shafii Madereva pikipiki (bodaboda) Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kufuata sheria za barabarani kwa…

November 28, 2023, 11:58 am

Bodaboda Ndulamo wakusanya Milioni 16 kwa mwaka

baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji na jeshi la polisi kwenye mkutano na waendesha bodaboda.picha na mwandishi wetu licha ya jitihada za serikali kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuanzisha vikundi pamoja na kupata mikopo vijana wa bodaboda ndulamo kupitia…

9 October 2023, 9:27 am

Vijana watakiwa kutambua umuhimu wa sekta ya kilimo

Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania AMDT Leo imewakutanisha Wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma, wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali na vijana katika Mdahalo wa kuibua changamoto zinazowakabili vijana ili kupata majibu sahihi. Na Mariam Kasawa. Vijana wametakiwa…

24 September 2023, 3:08 pm

Vijana Pemba waomba ajira ujenzi uwanja wa ndege

Wananchi waliopisha ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba kuanza kulipwa fidia mara baada ya kukamilika kwa tathmini. Na Is-haka Mohammed Kamati ya  muda ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  inayoratibu  masuala ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba imekutana…

15 September 2023, 18:21

Vijana mkoani Mbeya wapewa mbinu za kujikwamua kiuchumi

Mafunzo ya uelimishaji rika kwa vijana yatasaidia kuondoa changamoto katika masuala ya afya na uchumi. Na mwandhisi wetu Samwel Mpogole Vijana wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya uelimishaji rika kwa lengo la kusaidia vijana wengine waliopo kwenye jamii kuepukana…

12 September 2023, 3:02 pm

Vijana watakiwa kuacha tabia ya kutazama picha za utupu

Kwa mujibu wa mwanasaikolojia huyo anasema kuwa zipo athari mbalimbali ambazo zinaweza kusababishwa na suala hilo ambapo wanashauri jamii hususani vijana kuachana na tabia hiyo. Na Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa Wananchi hususani vijana kuepukana na tabia ya kuangalia picha…