Radio Tadio

moto

25 October 2023, 10:29 am

Bweni laungua moto wanafunzi watano wakimbizwa hospitali

Wananchi wengi hawajui namna ya kupambana na moto pindi unapozuka kwenye nyumba zao hata kama kuna vifaa vya kuzimia moto huku serikali ikishauriwa kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wananchi. Na Mrisho Sadick: Bweni la wasichana shule ya sekondari Queen Marry…

8 August 2023, 12:39 pm

Moto wateketeza hotel Pongwe

Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid  ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa  kuandaa utaratibu…

6 August 2023, 10:05 pm

Ghala la pamba la 4C lateketea kwa moto Bunda

Ghala la pamba linalomilikiwa na kampuni ya 4c limeteketea kwa moto huku likiwa na mzigo wa pamba ndani, hadi sasa haijulikani hasara ni kiasi gani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Mhe Salumu Mtelela amesema hadi sasa haijulikani…

29 July 2023, 10:20 pm

Maduka matatu yateketea kwa moto Bukombe

Uduni wa vifaa vya uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Geita inachangia kulifanya Jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Na Alex Masele: Maduka matatu ya wafanyabiashara katika mji wa Ushirombo Halmashauri ya wilaya Bukombe Mkoani Geita yameteketea…