Radio Tadio

Gesi

26 September 2023, 11:41

Waziri Ndalichako agawa mitungi 400 ya gesi Kasulu

Uamzi wa serikali kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi ni miongoni mwa mikakati ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira kwa kukata kuni za kupikia. Na, Hagai Ruyagila Jumla ya mitungi ya gesi 400 yenye thamani ya shilingi milioni 30 imetolewa…

Picha ya mitungi mbalimbali ya gesi inayotumika kwaajili ya kupikia majumbani

5 August 2023, 14:58 pm

Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani

Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia,  ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…

29 April 2023, 14:52 pm

MAKALA – Ladha ya chakula kilichopikwa kwa nishati ya Gesi

Na Musa Mtepa Kutokana na kukuwa kwa Technolojia  Binadamu ameweza kubadilika na kuendana na mazingira husika yanayoendana na mabadailiko hayo  ambayo sio tu kwa wakazi wa mijini bali hata katika maeneo ya Vijijini. Zamani ukienda vijijini na kukutana na Mzee…

10 April 2023, 11:29 am

Fahamu matumizi ya gesi asilia nyumbani

Na Mussa Mtepa Uwepo wa mtandao wa gesi asilia kwaajili ya kupikia katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kumesaidia kumtunza mazingira na muda wa kukaa jikoni kwaajili ya maandalizi ya chakula. Katika makala haya utasikia wanufaika mbalimbali wa…

8 July 2022, 14:52 pm

Fahamu uhusiano uliopo kati ya Jamii na kampuni za gesi

Fahamu ushirikiano ulipo kati ya jamii na kampuni ya gesi katika kiwanda kilichopo kata ya Madimba mkoani Mtwara. Makala haya yanaangazia namna gani wananchi wanaweza kupata ajira katika eneo hilo la uchakataji wa Gesi asilia katika kata ya Madimba  …