Chanjo
15 May 2026, 11:24 pm
Maboto achangia laki sita, maziwa harambee Bunda DDH
Utoaji wa fedha hizo ni sehemu ya kuendeleza ushirikiano kati ya taasisi ya Mabotto na sekta ya afya kwa lengo la kusaidia makundi yenye uhitaji maalum, hususan watoto wanaozaliwa kabla ya wakati pamoja na wananchi wenye changamoto za kiafya. Na…
1 May 2026, 7:42 pm
Vikundi 21 vyakopeshwa milioni 162 Nyang’hwale
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Nyang’hwale imetenga zaidi ya shilingi milioni 396 kwa ajili ya mikopo hiyo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 280 tayari zimeshatolewa, sawa na zaidi ya asilimia 70 ya utekelezaji. Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani…
18 April 2026, 5:39 pm
Babati TC yaipongeza Deira School kwa kuongoza ufaulu 2025
Mgeni rasmi wa hafla hiyo alikuwa ni Kaim afisa elimu mkoa wa Manyara ambae ni afisa elimu taaluma mkoa wa Manyara Allan Said, amezipongeza shule ambazo zimefanya vizuri ikiwemo shule hiyo ya Deira English medium school kwani kwa kukuza kiwango…
28 March 2026, 1:12 pm
Shibalanga wafutwa machozi ujenzi wa Zahanati
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta huduma za afya vijiji jirani hatimae wakazi wa Shibalanga wafutwa machozi. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Kijiji cha Shibalanga wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kuchukua hatua za haraka za…
26 January 2026, 6:04 pm
Hati za kimila 838 zatolewa kwa wananchi Nyang’hwale
Ugawaji wa hati za kimila ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha wananchi wanakuwa na umiliki halali wa ardhi. Na Mrisho Sadick: Kuelekea siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…
8 January 2026, 11:36 am
Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…
28 October 2025, 11:13 am
Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho
Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…
29 September 2025, 1:20 pm
Nyangh’wale waipongeza serikali kwa ujenzi wa miundombinu bora shuleni
Kupitia risala yao wanafunzi wa shule ya sekondari msalala wameishukuru serikali kwa uwekezaji huo na kuiomba kuwasaidia kupata basi la shule Na Mrisho Sadick: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Msalala wilayani Nyang’hwale mkoani Geita pamoja na wananchi wa eneo hilo…
22 November 2023, 10:17
Watoto wa miaka mitano hadi 14 kupatiwa dawa za minyoo na kichocho kigoma
Imeelezwa kuwa jamii kushindwa kuzingatia usafi na kuwa na vyoo bora ni miongoni mwa sababu zinazosababisha kuendelea kusumbuliwa na magonjwa ya minyoo na kichocho. Na Tryphone Odace Jumla ya Watoto laki tano na tano elfu mia nane na arobaini wenye…
25 October 2023, 09:11
Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma
Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…