Radio Tadio

Chanjo

1 Mei 2026, 7:42 um

Vikundi 21 vyakopeshwa milioni 162 Nyang’hwale

Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Nyang’hwale imetenga zaidi ya shilingi milioni 396 kwa ajili ya mikopo hiyo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 280 tayari zimeshatolewa, sawa na zaidi ya asilimia 70 ya utekelezaji. Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani…

28 Machi 2026, 1:12 um

Shibalanga wafutwa machozi ujenzi wa Zahanati

Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta huduma za afya vijiji jirani hatimae wakazi wa Shibalanga wafutwa machozi. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Kijiji cha Shibalanga wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kuchukua hatua za haraka za…

26 Januari 2026, 6:04 um

Hati za kimila 838 zatolewa kwa wananchi Nyang’hwale

Ugawaji wa hati za kimila ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha wananchi wanakuwa na umiliki halali wa ardhi. Na Mrisho Sadick: Kuelekea siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…

8 Januari 2026, 11:36 mu

Nyang’hwale yasisitiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara

Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…

28 Oktoba 2025, 11:13 mu

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

25 Oktoba 2023, 09:11

Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma

Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…