Sibuka FM
Sibuka FM
24 October 2025, 7:23 pm
“Tukahamasishe utulivu na pale kwenye viashiria vyovyote msisite kutoa taarifa,muwasisitize watu wakapige kura amani ndio msingi wa kila kitu“ Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, leo ameongoza kikao maalum na viongozi wa dini pamoja na…
2 October 2025, 09:34
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha maisha ya wazee kwa kuwasaidia kupata matibabu na mahitaji mengine muhinu kama sehemu ya kuambua mchango wao katika jamii. Na Hagai Ruyagila Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la…
1 October 2025, 4:28 pm
Na Isack Dickson Uchaguzi Mkuu mara zote umekuwa ni moyo wa demokrasia ya Tanzania. Lakini historia imeonyesha kuwa moyo huo mara nyingi unakumbwa na changamoto kubwa—rushwa ya uchaguzi. Inaanzia ndani ya vyama vya siasa, ambako kura za maoni mara nyingi…
27 September 2025, 6:46 pm
Na Zabron George Katika kuadhimisha siku ya Lugha ya Alama Duniani jamii imeshauriwa kuona umuhimu wa kujifunza lugha hiyo ili iweze kusaidia kurahisisha mawasiliano kati ya watu viziwi na wale wasio viziwi. Wito huo umetolewa na katibu wa chama cha…
September 25, 2025, 7:05 pm
Uongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Arusha umetembelea na kutoa msaada wa vifaa mbalimbali katika shule ya msingi Kaloleni, inayowahudumia watoto wenye mahitaji maalum, kama sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Maulid yatakayofanyika Jumamosi hii jijini Arusha.…
16 September 2025, 4:27 pm
Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mzuri wa Kodi kwa bidhaa umeanza kuandaliwa ili maji yanayozalishwa Zanzibar yaweze kutumia soko la pamoja la Tanzania.Hayo yameleezwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
11 September 2025, 9:53 am
Changamoto ya watu kujiua inapaswa kufanyiwa uchunguzi na kutatuliwa ili kupunguza vifo katika jamii. Na Godgrey Mengele Mwanaume mmoja ajulikanaye kwa jina la George Severin Manga mkazi wa Kitongoji cha Kihesa katika Kijiji cha Ilambilole amekutwa amejinyonga kwa kile kinachodhaniwa…
September 3, 2025, 6:40 pm
Kufuatia hadha ya muda mrefu kwa baadhi ya wakazi wa wilaya za Kyerwa,Karagwe na Missenyi mkoani Kagera kuvamiwa na tembo, kuharibu mali, mazao na kusababisha vifo vya watu, mamlaka ya uhifadhi nchini (TANAPA) imeanza zoezi la kuwaondoa Tembo hao na…
29 August 2025, 5:16 pm
Sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 inaweka bayana wajibu wa jamii, wazazi na serikali kulinda watoto dhidi ya vitendo vinavyoweza kuathiri makuzi yao. Na Mwandishi Wetu: Mwenyekiti wa mtaa huo Pelana Bagume amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya…
August 23, 2025, 3:42 pm
Katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero DC Nkinda alipokea malalamiko kutoka kwa mwananchi Emanuel Maduhu ambaye anadai aliuziwa kiwanja na serikali ya mtaa huo ambacho kilikuwa kimeuzwa awali. Na Samuel Samsoni- Kahama Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga…
19 August 2025, 17:33
Katika jamii yoyote ile, watoto ni nguzo muhimu ya maendeleo ya sasa na baadaye na maadili ni msingi wa malezi bora yanayomuwezesha mtoto kuwa raia mwema na mwenye mchango chanya kwa jamii hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, kumekuwa…
August 11, 2025, 8:00 pm
Waendesha usafiri Songwe wamemkaribisha RC mpya wa Songwe na kuahidi kulinda amani Mkoani humo, huku wakisisitiza kushirikiana na serikali na kutojihusisha na makundi ya kihalifu. Na Stephano Simbeye Waendesha bodaboda, maguta na bajaji wamesema hawako tayari kujiunga na makundi maovu…
10 July 2025, 8:00 pm
Siku chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Kagera kuwashikilia wanaume wawili ambao ni Kelvin Piason Mdolon (42), mkazi wa Mnyiha na mganga wa kienyeji pamoja na Randani Seme Mlomo (64), mkazi wa Mnyamwanga ambaye ni mtumishi wa chumba cha…
5 July 2025, 9:05 pm
Serikali ya Mapinuzi ya Zanzibar imejipanga kufanya mageuzi kwenye Sekta ya Ushirika ili kuhakikisha inavijenga Vyama vya Ushirika kuwa imara, endelevu na vyenye kutoa tija kwa Wanachama wake. Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imedhamiria kuendeleza juhudi…
3 July 2025, 11:24 am
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa huko Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, siku ya Jumamosi, tarehe…
2 July 2025, 12:00 pm
Kushamiri kwa vitendo vya watoto wadogo kutumikishwa kwenye shughuli za bar imewaibua wananchi Sengerema Na Emmanuel Twimanye: Wamiliki wa bar katika kata ya misheni Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wamepigwa marufuku kuajiri watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa…
18 June 2025, 1:44 pm
Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya mapato Tanzania (TRA) Zanzibar imesema imefanikiwa kuvuka malengo ya kukusanya kodi kwa asilimia 106 tangu kushauriwa kufungua matawi ya huduma katika ukanda wa utalii na Viongozi wakuu Rais wa Muungano Dk Samia Suluhu…
12 June 2025, 9:38 am
Na Mwandishi wetu Mwanaume mmoja Mkazi wa Kijiji cha Igelehedza kilichopo kata ya Ilembula Wilayani Wanging’ombe Mkoani Njombe Erasto Raphaely Kabupa mwenye umri wa miaka 50 amedaiwa kufariki dunia wakati akishiriki tendo la ndoa na mwanamke mmoja ambaye anadaiwa kuwa…
29 May 2025, 7:23 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Tawala za Mikoa, Zainab Khamis Kibwana, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuziangalia taasisi za serikali za mitaa kama nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo kitaifa.Mkurugenzi ameyasema…
25 April 2025, 5:13 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohammed ametoa wito kwa wadau wa sekta ya uchukuzi nchini Tanzania, Afrika Mashariki na bara la Afrika kushiriki mkutano wa Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Mawakala wa…