Sengerema FM

elimu

23 April 2024, 7:57 pm

Utumiaji wa ugoro chanzo kansa ya mdomo kwa vijana

Kufatia kuwepo na wimbi kubwa la vijana nchini kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya ikiwemo ugoro, jamii imeonywa kuachana na matumizi ya madawa hayo ili kuondokana na madhara yanayoweza kumpata ikiwemo kupata kansa. Na:Emmanuel Twimanye Vijana   Wilayani  Sengerema  Mkoani…

19 April 2024, 11:37 am

Marufu pikipiki za Samia kuendeshea bodaboda

Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Sengerema kimegawa pikipiki kwa viongozi wake wa kata na matawi ili kuwarahisishia kazi zao za kichama. Na:Emmanuel Twimanye Viongozi  wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza  waliopatiwa pikipiki na chama hicho  wamepigwa…

14 March 2024, 3:51 pm

Mitishamba chanzo cha vifo vitokanavyo na uzazi Sengerema

Vifo vitokanavyo na uzazi wilayani Sengerema vimekuwa vikitajwa kuongezeka kutokana na mwitikio mdogo wa akinamama wajawazito kuhudhuria kliniki kwa wakati na matumizi ya dawa za kienyeji. Na:Elisha Magege Matumizi ya dawa za kienyeji yatajwa kuwa chanzo cha vifo vya akinamama…

13 February 2024, 5:09 pm

CCM Sengerema yaagiza kukamatwa fundi wa nyumba za walimu

Kamati ya Sekretarieti ya ccm Wilaya ya Sengerema inafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serkali ya awamu ya Sita, ambapo imekutana na changamoto ya Fundi aliyelipwa fedha na kushindwa kukamilisha majengo ya watumishi kisha kutokomea kusiko…

13 February 2024, 12:18 pm

Makala maalum ya siku ya Redio Duniani

Redio Sengerema ni miongoni mwa redio za kijamii zaidi ya 30 zilizopo nchini Tanzania ambayo inapatikana katika mkoa wa Mwanza wilaya ya Sengerema. Tangu kuanzishwa kwake zaidi ya miaka 20 iliyopita imekuwa na mchango mkubwa sana kwa jamii ya wakazi…