Sengerema FM

elimu

6 January 2022, 10:42 pm

Sengerema yakabidhi madarasa 129 ya uviko 19.

Jumla ya vyumba vya madarasa mia  moja na ishirini na tisa  vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…

8 April 2021, 12:11 pm

Chakula mashuleni chaongeza ufaulu kwa wanafunzi Buchosa.

Kufuatia muamko wa wazazi kuhamasika kuchangia chakula shuleni hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kwa wananfunzi katika halimashauri Buchosa. Afsa elimu Sekondari wa halimashauri hiyo Mwl. Buruno sangwa amewapongeza wazazi kwa kuhamasika katika utoaji wa chakula jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufaulu…