elimu
6 January 2022, 10:42 pm
Sengerema yakabidhi madarasa 129 ya uviko 19.
Jumla ya vyumba vya madarasa mia moja na ishirini na tisa vilivyojengwa kwa fedha za uviko 19 halimashauri ya wilaya ya Sengerema vimekamilika na kukabidhiwa kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza tayali kusubilia wanafunzi kuanza masomo yao january17 mwaka huu.…
5 May 2021, 5:05 pm
TBS yatakiwa kufanya ukaguzi wa Bidhaa feki Mjini Sengerema.
Shirirka la viwango nchina Tanzania TBS limetoa mafunzo ya usindikaji bidha za mchele kwa wajasilia mali Wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Akizungumza baada ya kufungua mafunzo hayo Katibu Tawala wa wilaya hiyo kwa niaba ya mkuu wa wilaya Bwn. Alan augostine…
15 April 2021, 9:32 am
Bank ya CRDB Sengerema yatoa mifuko 100 ya saruji kujenga shule ya sekondari.
Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Dr.Emmanuel Kipole amepokea mifuko mia moja ya saruji kutoka Bank ya Crdb kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya wasichana wilayani hapo. Akizungumza baada ya kukabidhi saruji hiyo Manager biarashara wa Crdb…
8 April 2021, 12:11 pm
Chakula mashuleni chaongeza ufaulu kwa wanafunzi Buchosa.
Kufuatia muamko wa wazazi kuhamasika kuchangia chakula shuleni hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kwa wananfunzi katika halimashauri Buchosa. Afsa elimu Sekondari wa halimashauri hiyo Mwl. Buruno sangwa amewapongeza wazazi kwa kuhamasika katika utoaji wa chakula jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufaulu…