Ruangwa FM

Recent posts

21 February 2023, 4:55 pm

Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea  kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…

18 February 2023, 10:07 pm

Waziri mkuu ashuhudia utiaji saini Mradi wa Maji vijiji 55

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji utakaogharimu takribani shilingi bilioni 120 unaotekelezwa katika vijiji 55 vya wilaya za Ruangwa (vijiji 34) na Nachingwea (vijiji 21) mkoani Lindi. Amesema mradi huo ambao…

3 February 2023, 7:10 pm

Tutatumia sheria kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

Na Loveness Daniely. Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Hassan Ngoma   amesema kuanzia February 6 2023 wataanza kufanya msako mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba kwa kutumia sharia na miongozo iliyopo  kwa wazazi wasio wapeleka Watoto shuleni msako…

30 January 2023, 3:50 pm

Ruangwa yapokea kilogramu 1500 ya mbegu za Alizeti

Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imepokea mbegu za Alizeti aina ya Record nbegu chotara (certified seeds) kilogram 1,500 kutoka Tasisi ya Agricultural Seed Agency (ASA) ya mkoani Morogoro. Akizungumza baada ya kupokea mbegu hizo Afisa kilimo, Mifugo na…

30 January 2023, 7:32 am

Kushindwa kumtunza mtoto ni kosa kisheria

Ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya sheria nchini, Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, imeendela na utaratibu wa kupita katika tarafa za wilaya hiyo ili kutoa elimu ya masula ya kisheria kwa wananchi. Akizungumza na wananchi wa…

25 January 2023, 8:32 am

KINA BABA WAJIBIKENI WANAWAKE WAFUNGUE MAGOLI

“Kina Baba wajibikeni ili wakina mama wafungue magoli wanawake Wengi wanatumia uzazi WA mpango Kwa sababu wanaume hawawajibiki na wengine wanakimbia kulea” Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Ruangwa katika Mkutano kijiji cha nambilanje katika Ziara yake ya kata…

24 January 2023, 8:41 am

Tumieni mbolea muongeze tija katika kilimo

Wakulima wametakiwa kutumia mbolea ya ruzuku ya serikali ambayo huuzwa kwa thamani ya mfuko shilingi elfu Sabini (70,000/=) ili kuongeza tija ya uzalishaji katika sekta ya kilimo huku ikielezwa kuwa kilimo cha mazoea kinatajwa kuwadidimiza wakulima kupata mavuno haba. Hayo…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.