Ruangwa FM
Ruangwa FM
10 July 2023, 9:21 pm
Benki ya CRDB imetoa msaada wa madawati 20 kwa ajili ya shule ya msingi Mtopitopi, meza 40 na viti 40 kwa shule ya sekondari Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Programu yake maalumu ya KETI…
7 July 2023, 4:51 pm
Wananchi kata ya Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi wameridhia kutoa maeneo zaidi ya hekari 30 pamoja na kushiriki katika nguvu kazi za ujenzi wa shule ya sekondari tarajiwa inayotajwa huenda ikaja kuitwa shule ya sekondari Nambawala. Hatua hiyo inakuja kufuatia…
18 May 2023, 7:41 pm
Kaimu mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya Ruangwa ambaye pia ni afisa elimu msingi wilaya ya Ruangwa Mwl. George Mbesigwa amewataka walimu kutumia mafunzo yaliyoletwa na Aga Khan foundation wilaya ya Ruangwa kupitia MEWAKA kuyatumia vizuri katika kukuza taaluma mashuleni kwa…
8 May 2023, 6:48 pm
Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imepokea 965,900,000/= Milioni mia tisa na sitini na tano na laki tisa, kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa kuboresha upatikanaji wa fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania…
20 April 2023, 10:31 pm
Na Loveness Daniel Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amewataka wakuu wa wilaya zote zinazounda ushirika wa chama kikuu cha RUNALI kusimamia kwa umakini na kuweka jitihada kubwa katika zao la korosho na ufuta katika halmashauri zao kwani…
20 April 2023, 7:46 pm
Na loveness Daniel Kuelekea maadhimisho ya sikukuu ya miaka 59 muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo hufanyika April 26 kila mwaka Mkoa wa Lindi umezindua siku ya upandaji miti kimkoa ikiwa ni miongoni mwa utekelezaji wa agizo la Rais Samia…
19 April 2023, 11:29 pm
Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali wilaya ya ruangwa.…
23 March 2023, 7:19 pm
Wananchi mbekenyera na Namungo wilayani Ruangwa wapewa elimu na huduma ya kupima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) bure kwa kuchukua sampuli za wenye dalili za kifua kikuu ikiwa ni muendelezo wa shughuli za wiki ya kifua kikuu wilaya ya rungwa…
23 March 2023, 7:05 pm
Na Loveness Daniely Unywaji wa maziwa watajwa kua sio tiba wala haiwezi kuzuia kifua kikuu TB au kusafisha vumbi kifuani bali unywaji wa maziwa huimarisha kinga ya mwili kwakua maziwa yana virutubisho vingi mwilini vyenye kuujenga mwili na kuimarisha mwili…
22 February 2023, 7:40 pm
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.