Ruangwa FM
Ruangwa FM
14 September 2024, 8:12 am
MANISPAA YA LINDI YATENGA MILIONI 15 UJENZI WA MATUNDU YA VYOO SHULE YA MSINGI SINDE . NA HADIJA OMARY Lindi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi imeamua kutenga kiasi cha milioni 15 kwa ajili ya ujenzi wa matundu 8 ya vyoo…
5 September 2024, 6:04 pm
Na Khadja Omary Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi imemuhukumu Hassan Saddi, mwenye umri wa miaka (28) mkazi wa Mchinga Mkoani Lindi kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela na kumlipa muhanga fidia ya shilingi Laki Tano (500,000/=) kwa…
5 September 2024, 5:47 pm
Na loveness DanielyMkuu wa wilaya ya Ruangwa Hassan Ngoma amepiga marufuku wazazi wenye watoto wanaomaliza darasa la saba wenye tabia ya kuwasubiria viwanja vya shuleni kwa lengo la kuwalaki na kuwazungusha mitaani kwa kutumia bodaboda,bajaji,nk Marufuku hayo yametokana na madhara…
23 August 2024, 12:13 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wazazi wahakikishe vijana wao wanakwenda kusoma kwenye shule za sekondari kwani bila elimu hawawezi kufika mbali. “Wazazi wenzangu hakikisheni vijana wenu wanaenda shule,Hatuwezi kufika mbali kama vijana wetu hawaendi shule. Tunajenga shule kila mahali, tunataka…
23 August 2024, 9:25 am
Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imemhukumu kifungo cha maisha jela kijana Issa Mushizo (23) mkazi wa Nandanga wilayani Ruangwa kwa kosa la kubaka mtoto mwenye umri wa miaka minn (jina limehifadhiwa). Mtuhumiwa alitenda kosa hilo 10 Januari 2024…
15 February 2024, 10:28 pm
Ruangwa yazindua zoezi la chanjo ya surua na rubela
15 February 2024, 8:49 pm
Bodi ya Korosho Tanzania yawanoa maafisa ugani,watendaji kata na makarani Ruangwa.
10 September 2023, 10:11 pm
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumwamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge…
9 September 2023, 10:11 pm
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki katika michezo kwa kuwa michezo ni ajira, uchumi na huimarisha afya. “Tunapa faida nyingi kwa kufanya michezo, tushiriki katika michezo pamoja na kukimbia riadha kwa kuongeza vipaji tulivyonavyo kwani…
4 August 2023, 1:02 pm
Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.