Ruangwa FM
Ruangwa FM
19 February 2025, 8:14 pm
Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…
8 January 2025, 11:58 am
Hali ya elimu wilaya ya Ruangwa inazidi kuimarika kulinganisha na mwaka 2023 kimkoa ilikua ya mwisho, kwa mwaka 2024 imekua ya kwanza kimkoa. Na Joshua Jeremiah Kati ya wilaya sita zinazopatikana mkoa wa Lindi wilaya ya Ruangwa imeshika nafasi ya…
31 December 2024, 6:10 pm
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiheshimisha Tanzania katika hamasa ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kutokana na umuhimu wake kwenye afya ya binadamu na utunzaji wa mazingira.…
17 December 2024, 11:45 am
Mkuu wa wilaya ya Kaliua Dkt Mongella akizungumza katika mafunzo. Na loveness Daniel “Tumetembea km1500 kutoka Kaliua Tabora kuja kujifunza mfumo wa stakabadhi za ghala katika wilaya hii ya ruangwa iliyopga hatua katika mfumo na kuleta tija”amesema DC Mongella Hayo…
14 December 2024, 8:16 pm
Na Loveness Daniel. Leo, 14 Desemba 2024, Baraza la Madiwani kutoka Kamati ya Uchumi na Fedha ya Manispaa ya Mtwara Mikindani, pamoja na wakuu wa idara na vitengo, wamefanya ziara ya kujifunza namna ya uendeshaji wa ghala la ukusanyaji wa…
8 December 2024, 7:24 pm
Na Mwanne Jumaah Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara yamefanyika leo, tarehe 8 Desemba 2024, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi,Sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Likangara, ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea,…
3 December 2024, 7:57 pm
Na Mwanne Jumaah Wadau wa Mradi wa Dhibiti Malaria (PMI) wamemaliza ziara ya kutoa elimu dhidi ya ugonjwa wa malaria katika kata za Mandarawe, Malolo, Chienjele, Mnacho, na Nandagala zilizopo wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, jana, tarehe 02 Desemba 2024,Ziara hii…
8 November 2024, 10:44 pm
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Hassan Ngoma amewataka madiwani , Viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa kutoibua taharuki yeyote itakayovuruga amani kipindi cha uchaguzi wa serikali za mtaa bali wawe sehemu ya kuleta amani katika jamii na kuleta suluhisho…
1 November 2024, 3:15 pm
Na Mwanne Jumaah Wakala wa Maendeleo ya usimamizi wa Elimu (ADEM) kupitia Mradi wa boost wamewajengea uwezo walimu wakuu 554 juu ya uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kutoka Katika Wilaya tano za Mkoa wa Lindi Mratibu wa Mafunzo hayo…
17 September 2024, 10:25 am
Na Hadija Omary Wananchi Mkoani Lindi wametakiwa kutumia siku sita za ujio wa madaktari bingwa na ubingwa bobezi wa Rais Samia kupata huduma za kibingwa kwa karibu katika hospitali za Wilaya za Mkoa huo Rai hiyo imetolewa na Mganga Mkuu…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.