Pangani FM

HABARI ZA PANGANI

27 April 2024, 2:21 pm

Miaka 60 ya Muungano, Pangani yajivunia miradi ya kimkakati

Mafanikio ya miradi ya kimkakati miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanafaa kujivunia. Na Hamisi Makungu Wananchi wa Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuisherehekea Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kujivunia Mafanikio na Miradi…

27 April 2024, 1:09 pm

UZIKWASA kuboresha usikivu Pangani FM

UZIKWASA imeanza kufanya maboresho ya usikivu wa redio Pangani FM kufuatia athari za mvua zinazoendelea kunyesha. Na Hamisi Makungu Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Tanga zimechangia kuathiri mitambo ya Kituo cha Radio Pangani FM iliyopo Mkanyageni…

4 April 2022, 4:59 pm

Halmashauri ya Pangani yazindua kampeni ya upandaji miti.

Halmashuri ya wilaya ya pangani mkoani Tanga imezindua kampeni ya upandaji  miti kiwilaya kwa kuhimiza wananchi kupanda miche ya miti mitano kwa kila kaya na kuhakikisha miche hiyo inatunzwa ilikuleta ustawi himilivu wa mazingira . Wakizungumza wakati wa kuzindua kampeni…

28 March 2022, 4:14 pm

Jela miaka 20 kwa kuwadhalilisha kingono watoto Pangani.

Mahakama ya wilaya Pangani imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Sideti Itekno baada ya  kupatikana na shataka la  kufanya udhalilishaji  wa kingono. Katika hati ya mashtaka iliyowasilishwa na polisi mahakamani hapo ilidaiwa kuwa mnamo tarehe 7 mwezi wa 2 mwaka…

23 February 2022, 8:05 pm

Tembo ahisiwa kuua mtu Pangani

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina Shaa Omari mwenye umri wa miaka 30 amekutwa akiwa  amefariki katika eneo la Kumba Mtoni lililopo wilayani Pangai Mkoani Tanga. Pangani FM imezungumza na kamanda wa Polisi wilaya ya Pangani bwana Cristopher Msofe ambaye amethibitisha…

22 February 2022, 7:13 pm

Majeruhi ajali ya Saadani wapokelewa Pangani.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga Dkt. HASSANI MSAFIRI amesema Majeruhi Wawili katika Ajali iliyotokea Jana maeneo ya SAADANI wamepewa Rufaa ya kwenda Hospitali ya Mkoa BOMBO na wengine bado wanaendelea kupatiwa Matibabu Hospitalini hapo. Akizungumza…

19 February 2022, 3:50 pm

OCD Pangani atoa onyo kwa wamiliki wa majahazi.

Wamiliki na manahodha wa majahazi ya mizigo wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuzingatia sheria ya Usafirishaji kwa kuacha kubeba abiria katika vyombo vya mizigo. Hapo jana Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani Pangani Mkoani Tanga alifika katika studio za Pangani…