Pangani FM

HABARI ZA PANGANI

19 February 2022, 3:41 pm

Shirika la UZIKWASA lililopo Mjini Pangani leo limehitimisha Mafunzo yake ya Uongozi wa Mguso kwa Wanandoa yaliyodumu kwa Siku tatu. Hii leo ikiwa ni Siku ya Tatu na ya Mwisho ya Mafunzo hayo, baadhi ya wanandoa waliopatiwa mafunzo hayo mbali…

17 December 2021, 6:45 pm

Viongozi wa Redio Jamii wajengewa uwezo Pangani.

Mafunzo ya kujitathimini kwa Wadau, Waandishi wa Habari na Viongozi wa Radio za Kijamii Nchini yafikia tamati hii leo. Washiriki wa Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Shirika la Uzikwasa kwa Siku tatu mfululizo hapa Wilayani Pangani Mkoani Tanga, wameyataja Mafunzo hayo…

16 November 2021, 1:34 pm

Tozo za miamala kujenga Kituo cha Afya cha Madanga.

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani imepokea kiasi cha fedha Shilingi Milioni 250 kutoka katika mgao wa fedha zotokanazo na tozo za miamala ya simu. Akizungumza na Pangani FM Mkurugenzi wa Hlamshauri ya Wilaya ya Pangani Bw. Isaya Mbenje amesema kuwa…

12 November 2021, 5:02 pm

Shinikizo la Damu changamoto zaidi kwa Wanaume Pangani.

Magonjwa ya Sukari na Shinikizo la Damu la Juu yanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Wagonjwa Wilayani Pangani Mkoani Tanga. Takwimu zinaonyesha kuwa katika kipindi cha kuanzia Septemba 2020 hadi Septemba 2021 Jumla ya Wagonjwa wenye Shinikizo la Damu la…

11 November 2021, 10:43 am

Miioni 80 za IMF kujenga madarasa Bushiri.

Viongozi wa kata ya bushiri wilayani Pangani mkoani Tanga wamepanga kuanza ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa mwezi huu baada ya kupokea fedha kutoka Serikali. Fedha hizo zinatokana na mpango wa Serikali ya Tanzania wa kuinua Uchumi kwa kutumia mkopo…

9 November 2021, 1:17 pm

Zaidi ya Milioni 59 kutolewa mikopo kwa vikundi Pangani.

Halmashauri ya wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imfanikiwa kutenga kiasi cha milioni 21.34 ikiwa ni asilimia kumi ya mapato ya halamshauri hiyo ndani ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/22 zitakazokopeshwa kwa vikundi mbalimbali vya vijana,wanawake na walemavu.…

13 September 2021, 9:34 am

Pangani FM yaibuka kidedea tuzo za EJAT 2020.

Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Pangani FM Rajabu Mustapha Mrope  ameibuka  mshindi wa kwanza Kitaifa wa tuzo za umahiri wa Habari Tanzania (EJAT) mwaka 2020 katika kipengele cha Habari za Data na Takwimu. Makala iliyopelekea ushindi huo ilionyesha…

18 August 2021, 1:30 pm

Ajinyonga kisa wivu wa mapenzi Pangani.

Kijana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Amury Mwin-dadi mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa Kijiji cha Mikinguni Wilayani Pangani Mkoani Tanga ajinyonga kutokana na wivu wa kimapenzi. Mrakibu wa Jeshi la Polisi na Mkuu wa upelelezi Wilaya ya Pangani…

4 August 2021, 5:37 pm

Waliojitokeza kupokea chanjo ya Corona Pangani.

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga leo imeanza zoezi la utoaji wa Chanjo ya virusi vya Corona kwa makundi yaliyopewa kipaumbele ikiwemo watoa huduma za afya, watu wenye magonjwa sugu na wazee. Viongozi wa Serikali, taasisi, watumishi wa afya…