Pangani FM
HABARI ZA PANGANI
2 December 2020, 4:43 pm
Ufaulu Darasa la Saba 2020 washuka Wilayani Pangani.
Ufaulu kwa wanafunzi waliohitimu Darasa la Saba Wilayani Pangani kwa mwaka 2020 umetajwa kushuka kwa Asilimia 6.74% ukilinganishwa na Mwaka jana. Akizungumza na Pangani fm Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani amesema ufauu huo umeshuka ukilinganisha na mwaka jana…