Nuru FM
Nuru FM
10 July 2025, 16:01
Kwenye maisha usiwe mtu wa kujisifu badala yake acha kazi yako na bidii yako ikutambulishe kwa watu,ndio hapo utasifiwa na wanao ona. Na Hobokela Lwinga Wananchi katika kijiji cha Nsonyanga A kata ya Mahongole wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameishukru…
10 July 2025, 12:46
Halmashauri ya Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma imetakiwa kuweka mikakati ya kuzalisha mazao ya biashara yenye ushindani ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…
9 July 2025, 1:50 pm
Zaidi ya vyandarua elfu 16 vitagawiwa kwa wananchi wa Kata ya Uvinza kama sehemu ya juhudi za kuendelea kutokomeza ugonjwa hatari wa malaria katika Wilaya ya Uvinza. Na Abdunuru Shafii Wananchi wa kata ya uvinza wilaya ya uvinza wamepokea vyandarua…
3 July 2025, 3:21 pm
Afya ya akili ni hali ya ustawi wa kiakili, kihisia na kijamii inayomuwezesha mtu kukabiliana na changamoto za maisha, kufanya kazi kwa ufanisi, na kuchangia katika jamii matatizo ya kiafya. Afya ya akili inahitaji uangalizi sawa na afya ya mwili,…
2 July 2025, 2:09 pm
“Watoto yatima wanapaswa kupata msaada sawa na watoto wengine” Na Adelphina Kutika MBUNGE wa Jimbo la Kalenga anayemaliza muda wake Jackson Kiswaga ametoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kwa Watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Watoto yatima Tosamaganga kilichopo…
1 July 2025, 11:57 am
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Isinde. Picha na Anna Mhina “Mfumo dume unaanzia nyumbani hivyo tunakosa kujiamini” Na Anna Mhina na Roda Elias Kuendelea kuwepo kwa mfumo dume miongoni mwa baadhi ya jamii kumetajwa kumuathiri mwanamke katika kuwania nafasi…
1 July 2025, 10:00 am
“Viongozi wote wanawajibu wa kutoa taari ili wananchi waweze kuzifaham na kujua kinacho endelea” Na Vuai Juma. Watendaji wa sekta za kiserikali ndani ya mkoa wa Kaskazini Unguja wametakiwa kutoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utendaji wao ili kuweza…
June 28, 2025, 12:35 pm
Amewataka vijana, wanawake na makundi mengine kuendelea kuonyesha uwezo wao serikalini hasa baada ya kupata nafasi za juu za maamuzi. Na Samwel Masunzu- Geita Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kata ya Nyachiluluma wilayani Geita mkoani Geita Bi. Esther James ametangaza…
20 June 2025, 4:59 pm
Picha ya wakitembeza mwenge wa uhuru kwenye eneo la mradi wa hoteli ya kappa sense iliyopo pwani mchangani Wilaya ya kaskazini “A” Unguja. Picha na Juma Haji Juma. “Naagiza “taarifa zote za miradi zitunzwe ili ziweze kutumika baada ya mbio…
June 19, 2025, 12:55 pm
Wasira amesema baadhi ya watia nia ya nafasi za ubunge hutumia fedha kuwahonga wajumbe na kwamba chama hicho hakipo tayari kupitisha wagombea wanaotanguliza fedha. Na Elias Zephania- Chato, Geita Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania bara Stephen Wasira…