Jamii FM

News

24 April 2021, 06:33 am

Mwenendo wa Kimbunga “JOBO”

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “Jobo” kilichopo bahari ya Hindi. Kimbunga Jobo kimeendelea kusogea kuelekea maeneo ya pwani ya nchi yetu ambapo kutokana na taarifa za uchambuzi zilizofanywa na Mamlaka kimbunga…

23 April 2021, 19:31 pm

TPB yatoa elimu kwa wavuvi

Na Karim Faida Wavuvi wa kijiji cha Namela kata ya Msangamkuu halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamepewa elimu ya namna ya kupata mkopo Benki ili kujiendeleza katika shughuli zao kwa lengo la kuvua kivuvi chenye tija. Akiongea na…

20 April 2021, 15:59 pm

Waandishi someni sheria

Na Karim Faida Waandishi wa habari Tanzania wameaswa kuzisoma na kuzielewa Sheria mbalimbali zinazohusiana na tasnia yao hasa sheria ya haki ya kupata taarifa iliyopitishwa na bunge Septemba 7 2016 na kuidhinishwa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa…

19 April 2021, 12:01 pm

Sijasoma ila nawasaidia wazazi

Na karim Faida Nchi ya Tanzania imebarikiwa vyanzo vingi vya maji ambavyo pia vinatumika katika shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na shughuli za uvuvi ambazo zinasaidia kuingiza kipato kwa watu wanaoishi jirani na chanzo fulani cha maji mfano bahari, Maziwa,…

18 April 2021, 10:28 am

Kauli ya Rais imetupa nguvu mpya

Na Karim Faida. Wafanyabiashara wa bidhaa mbalimbali kutoka kwenye soko kuu la Chuno lililopo manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara wamesema wanaimani kubwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan kutokana na kauli zake anazozitoa…

18 April 2021, 10:20 am

Wanakijiji wahamasishwa kushiriki kwenye miradi

Na Karim Faida Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoletwa katika kijiji chao ili kuharakisha miradi hiyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

16 April 2021, 09:28 am

BAKITA wawapiga msasa waandishi wa Habari

Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamepokea mafunzo ya namna sahihi ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili kutoka Baraza La Kiswahili Tanzania (BAKITA). Mafunzo hayo yametolewa Aprili 15, 2021 na kaimu mtendaji mkuu wa Baraza la Kiswahili Tanzania Bi.…

16 April 2021, 07:54 am

Mwanafunzi: mkaa unanisaidia sana

Kauli ya “Kazi ziendelee inayotumika kama salam ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hasan imeendelea kuwafuta machozi Watanzania kwa kuwa kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na ari ya kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.…

16 April 2021, 07:46 am

Tuilinde Amani kwa nguvu

Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wameaswa kuendelea kuilinda amani kwa maslahi ya mtu mmoja mmoja, Mkoa na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa jana April 14 2021 na Diwani wa kata…

16 April 2021, 07:39 am

Mwenyekiti awasaka wanafunzi majumbani

Mwenyekiti wa mtaa wa Geza ulole kata ya Majengo Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara Ndugu Jafari Likulangu Amekuwa na utaratibu wa kupita nyumba hadi nyumba kufuatilia mwenendo wa masomo kwa wanafunzi wa mtaa wake kwa kukagua daftari zao. Mwenyekiti…