News
28 February 2021, 10:46 am
“Wawezeshaji mmeaminiwa kafanyeni kazi” :- Mkurugenzi Mtwara Dc
Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Bw. Maisha S. Mtipa tarehe 27 Februari, 2021 amewataka wawezeshaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia TASAF kuwajibika kwa walengwa huko vijijini kwakuwa serikali imewaamini. Ameyasema hayo wakati wa kufunga mafunzo…
28 February 2021, 10:14 am
DANGOTE kupiga tafu miradi ya Milioni 648 Mtwara Vijijini
Kiwanda cha saruji DANGOTE Mtwara tarehe 26 Februari, 2021 kimeingia makubaliano maalum na halmashauri ya wilaya ya Mtwara kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya milioni 648 katika sekta ya elimu, afya, maji na michezo. Makubaliano hayo yamefanyika…
25 February 2021, 06:35 am
Wataalamu wa Elimu wafanya ufuatiliaji Mtwara Vijijini
Timu ya wataalamu ikiongozwa na Afisa elimu Msingi Mwl. Adam Shemnga Jana Tarehe 24 Februari, 2020 wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa maendeleo ya kitaaluma katika Shule kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye Sekta hiyo Mtwara Vijijini. Ukaguzi huo umelenga kufuatilia…
24 February 2021, 04:45 am
Wawezeshaji TASAF wasisitizwa kutumia weledi uibuaji miradi
Timu ya wataalamu wa sekta mbalimbali halmashauri ya wilaya mtwara imeendelea na mafunzo ya siku sita yatakayowawezesha kusaidia uibuaji wa miradi ya kipindi cha ari kwa walengwa wa kaya maskini kupitia mradi wa TASAF kunusuru kaya maskini awamu ya tatu…
24 February 2021, 04:33 am
Waziri Silinde aridhishwa na ujenzi wa Bweni “Sabodo High School”
Naibu waziri OR-TAMISEMI anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde (Mb) ameipongeza timu ya menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa usimamizi thabiti wa ujenzi wa madarasa mawili na bweni katika Shule ya Sekondari Mustafa Sabodo ikiwa ni maboresho kuelekea kuanza…
22 February 2021, 12:50 pm
Anayefahamu Tiba Asilia ya Magonjwa Upumuaji afike ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa wananchi mkoani hapa kwa Anayefahamu tiba asilia ya magonjwa ya mfumo wa upumuaji, magonjwa ya pumu na magonjwa ya mfumo wa hewa na mwenye dawa asilia zenye kutibu magonjwa hayo,…
18 February 2021, 10:14 am
Wakulima wa chumvi Mtwara waipongeza Serikali kwa kuwaboreshea Miundombinu
Mapema leo tarehe 17 Februari, 2021 uongozi wa Kikundi cha Vijana cha Makonde Salt kilichopo kata ya Ndumbwe umeipongeza halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa uwezeshaji wa mkopo wa zaidi ya Milioni 15 uliosaidia kuboresha miundombinu ya mashamba yao ya…
17 February 2021, 09:59 am
Madiwani Manispaa ya Mtwara watembelea miradi ya Maji MTUWASA
Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani wamefanya ziara ya kuangalia miradi na vyanzo vya maji vya Mamlaka ya Maji safi na maji taka mjini Mtwara (MTUWASA) kwa lengo la kujifunza na kuona namna ya ufanisi wa kazi wa…
7 February 2021, 11:06 am
TANESCO Mtwara watoa elimu kwa wajasiliamali
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara, wametoa elimu ya matumizi sahihi ya umeme kwa wajasiliamali mkoani hapa baada ya kuwatembelea kwenye sehemu zao za Biashara Manispaa ya Mtwara Mikindani. Akitoa elimu hiyo mhandisi Aurea Bigirwamungu ambae ni afisa…
18 January 2021, 11:43 am
Ajiua kwa wivu wa Mapenzi
Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake Awali akizungumza na Newala FM mtoto…