Jamii FM

News

12 February 2022, 19:37 pm

Maadhimisho ya siku ya redio duniani

Na Amua Rushita. Waandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia  kupitia Mradi wa Sauti mpya, wamekutana katika kuadhimisha siku ya redio duniani kwa kuwa na majadala juu ya siku hii inayoadhimishwa kidunia, karibu usikilize kipindi maalumu kutoka hap mkoani…

14 August 2021, 16:22 pm

Polisi yamkamata “anayetuhumiwa” kuteka watoto Mtwara

Na Gregory Millanzi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata mtuhumiwa Jabiri Bakari (19) kwa tuhuma za uhalifu wa utekaji, ubakaji na kulawiti watoto baada ya kuwalaghai kwa njia mbalimbali na kufanikiwa kuondoka nao kwenda kwenye maeneo na kunzisha makazi…

31 July 2021, 15:18 pm

Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki

Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…

20 May 2021, 19:12 pm

Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti

Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…

15 May 2021, 19:50 pm

Mtenga: Nitachangia mifuko 100 ya saruji bakwata

Na Karim Faida. Waislam katika wilaya ya Mtwara wametakiwa kuonesha jitihada na kushirikiana katika ujenzi wa ofisi ya bakwata ya wilaya hiyo ili kuwapa Imani wanaotaka kusaidia kwenye ujenzi huo ambao bado haujaanza kutokana na ukata wa pesa. Hayo yamesemwa…

8 May 2021, 06:47 am

DC Kyobya: tudumishe Amani

Na Karim Faida Mkuuu wa wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya amewataka wananchi kuendelea kulinda amani ya Mtwara na kutoa taarifa kwa mamlaka pindi wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa amani. Ndugu Kyobya amesema hayo jana Mei 7 2021 katika…

5 May 2021, 20:49 pm

Matukio ya mauaji yanaichafua Mtwara

Na karim Faida Diwani wa kata ya Mkunwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara amesema katika kata yake imekuwa na Matukio ya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na mauaji ya watu watatu tofauti kwa matukio tofauti katika kipindi…

5 May 2021, 04:41 am

Mbae: Barabara ni changamoto

Na karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mbae Chundi, Kata ya Ufukoni manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwatengenezea barabara inayotoka Pacha ya Mbae hadi Mtaa wa Mbawala chini kwa kiwango cha changalawe. Wakiongea na Jamii fm radio…

24 April 2021, 16:07 pm

Mtwara ipo salama dhidi ya Kimbunga “Jobo”

Na Karim Faida Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA imetangaza uwepo wa kimbunga jobo katika bahari ya Hindi, Baada ya kupokea taarifa hiyo kumekuwa na watu wanaosambaza taarifa kwenye mitandao kwamba kimbunga hicho tayari kimeshafika katika mkoa wa Mtwara.…