Community media
5 February 2021, 07:44 am
Wananchi wa Mtiniko waipongeza serikali kwa kupata nishati ya umeme
Wananchi wa kijiji cha Mtiniko Halmashauri ya mji Nanyamba mkoani mtwara wameipongeza serikali kwa kuwapelekea huduma ya umeme wa REA na kusema uwepo wa umeme huo umesaidia kuinua kipato cha wakazi hao kwa kuwepo kwa viwanda vidogovidogo mitaani. Akiongea na…
4 February 2021, 08:55 am
TADIO kupambana na Magonjwa ya mlipuko
Shirika la Habari za Maendeleo Tanzania (TADIO) limeanza kusambaza vifaa vya kujikinga na magonjwa ya mlipuko vilivyotolewa na UNESCO Dar Es Salaam Office kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania kwa vituo vya redio jamii chini ya mwamvuli wa TADIO.Vifaa hivi…
16 January 2021, 13:15 pm
Mkoa wa Mtwara waomba Baraza la mitihani kukanusha Matokeo mtandaoni
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mh. Gelasius Byakanwa amesema taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha kwamba shule 10 za mwisho kitaifa za kidato cha nne tisa ni kutoka mkoa wa Mtwara sio za kweli na kwamba hazihusiani na matokeo…
14 January 2021, 04:46 am
Mvua zasababisha kifo
Kutokana na mvua kubwa zilizonyesha siku mbili mfululizo katika manispaa ya Mtwara mikindani,imesababisha kifo cha mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Ally Machulila (65) dereva pikipiki aliyesombwa na maji alikuwa anakatiza kwenye maji na kuzidiwa na kusababisha umauti, pia baadhi…
12 January 2021, 12:46 pm
Mvua yasababisha mafuriko Mtwara Mjini
Kufuatia mvua zilizoanza kunyesha alfajiri ya leo January 12, 2020 mkoani Mtwara, barabara katika maeneo mengi ya Manispaa ya Mtwara Mikindani zimefurika pia nyumba kuingiwa na maji. Baadhi ya maeneo yaliyoatiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha ni pamoja na Kituo kikuu…
11 January 2021, 16:22 pm
Mtwara wahakikishiwa huduma bora za maji
Waziri wa Maji Juma Aweso amefanya ziara ya kikazi ya siku Moja Mkoani Mtwara kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na amewahakikishia wananchi wa Mtwara hatakuwa na kikwazo katika kuwaletea huduma bora za Maji safi na salama. Waziri Aweso ameyasema…
10 January 2021, 06:53 am
Dangote kuanza uzalishaji tena Jumatatu 11.01.2021
Uongozi wa kiwanda cha Saruji DANGOTE CEMENT Mtwara umesema jumatatu ya Januari 11, 2021 wataanza uzalishaji wa Saruji baada ya kukamilika kwa matengenezo ya baadhi ya mitambo iliyopata itirafu. Hayo yamethitishwa na Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mh. Gelasius Byakanwa…
1 December 2020, 11:59 am
Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza
Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba watoto wakike walioko shuleni hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo Mwanaidi Simba Kutoka…
26 November 2020, 08:27 am
Wanufaika na TASAF Lindi waipongeza serikali
Wanufaika wa Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) mtaa wa Jangwani Halmashauri ya manispaa ya Lindi, wameeleza namna walivyonufaika na mradi, wameleeza maisha ya awali na ya sasa na namna mradi ulivyosaidia familia zao. Kwa upande wake Afisa mtendaji wa…
10 November 2020, 05:53 am
Ukataji wa miti hovyo unavyoweza kusababisha kukausha vyanzo vya maji.
Wapo wanaokata miti kwa shughuli mbalimbali kama vile kutengeneza mkaa, kujengea nyumba, kuchana mbao huku athari zake zikiwa ni pamoja na kukausha vyanzo vya maji. Hapa utawasikia wananchi na Meneja wa wakala wa misitu wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara Nchini…