FM Manyara
FM Manyara
5 June 2025, 7:00 pm
Na George Augustino. kijana aliyefahamika kwa jina moja maarufu la digidigi (48) amefariki dunia katika ajali ya gari la mizigo iliyotokea leo majira ya saa tano asubuhi katika daraja linalounganisha kijiji cha orongadida na kijiji cha majengo vilivyopo katika kata…
5 June 2025, 6:32 pm
Kila tarehe 5 Juni, kila mwaka Watanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali za kimazingira ikiwemo usafi wa mazingira na upandaji wa miti. Na George Augustino shirika lisilo la serikali la civil…
29 May 2025, 11:53 pm
Ili kupunguza na kutokomeza matukio ya ukatili wa kijinsia na watoto halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara imejiwekea mikakati na kuamua kutekeleza maazimio ya kupambanana ukatili wa kijinsia Na George Augustino Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Babati Shaaban…
28 May 2025, 4:21 pm
Karibu usikilize makala maalum inayohusu nafasi ya mwanamke katika uongozi inavyosaidia kuondoa mila potofu katika jamii kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Makala hii imezungumza na viongozi wanawake, viongozi wa mila, wanawake pamoja na wanaume…
27 May 2025, 12:42 pm
Serikali mkoani Manyara imesema mfumo wa E-RITA unamuwezesha mwananchi kujisajili kwa kiidigital na kurahisisha kupata cheti cha kuzaliwa kwa haraka tofauti na ilivyokuwa awali. Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujisajili kwenye mfumo E-Rita ambao utamuwezesha mwananchi kujisajili kwenye…
22 May 2025, 3:27 pm
Wananchi mkoani Manyara ambao hawajaboresha taarifa zao wametakiwa kufika kwenye vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kuboreshe taarifa zao kwa muda uliobaki ili kupata fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara…
21 May 2025, 6:03 pm
Wanafunzi wa shule ya msingi Ayamango iliyopo kwenye kijiji cha ayamango kata ya Galapo wilayani Babati mkoani Manyara wamejengewa miundombinu ya kisasa ya vyoo vya wanafunzi na walimu baada ya choo cha zamani kutitia na kuleta hatari ya magonjwa ya…
16 May 2025, 4:47 pm
Shirika la So They Can Tanzania (STC) limesema kwa miaka mitano iliyopita licha ya changamoto kadhaa kwenye maeneo ya mradi wanakofanya kazi bado kumekuwepo mafanikio makubwa ambayo yanawafanya kuendelea kutanua wigo wake kwa miaka mitano ijayo. Na Marino Kawishe Akizungumza…
16 May 2025, 4:34 pm
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji(EWURA) kanda ya kaskazini imewataka wananchi kutumia nishati safi ya kupikia majumbani maarufu kama (LPG) na kuachana na matumizi ya mkaa na kuni . Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara na kanda…
16 May 2025, 3:33 pm
Na Mzidalfa Zaid Wasanii mkoani Manyara na nchini kwa ujumla wametakiwa kujisajili katika Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) ili kutambuliwa na Baraza hilo na kupatiwa cheti cha sanaa pamoja na kupata fursa zitokanazo na sanaa . Afisa kutoka BASATA…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.