Podcasts
4 February 2023, 14:29 pm
Nipo tayari kukatwa mguu
“Wahisani na wadau wameombwa msaada wa matibu ya mguu kwa Ndg. Marias Thomas Ngole mkazi wa kitongoji cha Mijolo kijiji cha Ziwani Mkoani Mtwara baada ya kuapata ajali ya kugongwa na pikipiki miaka mitatu iliyopita.” Na Musa Mtepa Akizungumza na…
4 February 2023, 2:04 pm
Taarifa ya habari ya Nuru FM iliyoruka Feb 3 2023
Sikiliza Taarifa ya habari zilizosomwa Katika Kituo cha Redio Nuru Fm iliyopo Mkoani Iringa
3 February 2023, 9:47 am
Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…
2 February 2023, 9:01 pm
Mkuu wa wilaya atoa agizo hili katika Sheria Pangani.
Na Saa Zumo kushirikiana na Erick Mallya Kauli mbiu ya wiki ya Sheria mwaka 2023 ni ‘Umuhimu wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu wa Mahakama na Wadau.’ Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi.…
31 January 2023, 12:23 pm
Hekima na busara, sababu ya amani msimbati
Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu ya Kanda ya Mtwara Mhe.Zainab Muruke amemtaja mzee Issa Mohamed Mkumba kuwa ni kinara wa kutatua changamoto za migogoro katika jamii bila kufikishana katika vyombo vya usuluhishi na Mahakama. Na Hamza Ally Mzee Mkumba amekua…
31 January 2023, 12:07 pm
Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia
“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta na kuongeza kipato cha familia na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA WOMENI GROUP’’…
31 January 2023, 12:06 pm
Mama mjamzito akitumia dawa za kulevya zinamuathiri mtoto kuanzia tumboni
Mama mjamzito anayetumia madawa ya kulevya ana kiwango kikubwa cha kumuathiri mtoto akiwa tumboni, na wengi wao wanapoteza maisha wakati wa kujifungua. Na Gregory Millanzi Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama kwenye mfumo wake wa uzazi na…
31 January 2023, 12:06 pm
Chuo kikuu cha Dar es salaam kutoa Shahada ya pili na ya tatu ya kilimo Ruangw…
Ujenzi wa chuo kikuu cha Dar es salaamu tawi la Ruangwa kitakachotoa Shahada ya pili na ya tatu katika ngazi ya kilimo unatarajia kuanza Juni 2023. Na Loveness Daniel. Ujenzi wa chuo kikuu cha kilimo kupitia chuo kikuu cha dar…
31 January 2023, 12:04 PM
Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani
Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika, Halmashauri ya Mji wa Masasi, …
31 January 2023, 12:02 pm
Wananchi Bahi watakiwa kupanda miti ili kulinda vyanzo vya maji
Wananchi wilayani Bahi wametakiwa kuboresha mazingira na kutunza vyanzo vya maji kwa kuhakikisha wanapanda miti kwa wingi na kuilinda ili kutunza mazingira na vyanzo vya maji. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wananchi Wilayani Bahi kupanda miti kwa wingi na…