Dodoma FM

Wizara ya Afya

20 March 2023, 3:07 pm

Wananchi walalamika kutumia maji yasiyo salama

Wakazi walalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na salama baaada ya kuharibika kwa mashine ya kusukuma maji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Chinugulu wilayani chamwino wamelalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na…

1 March 2023, 5:14 pm

Nzelenze waiomba serikali huduma ya maji safi na salama

Hatua za kukabiliana na changamoto ya maji vijijini bado zinaendelea  ili kuondokana na matumizi ya maji yaliyo tuama na visima vifupi  ambayo ni hatari kwa afya za binadamu. Na Victor Chigwada                                                               Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya…

28 February 2023, 4:58 pm

Uzalishaji wa maji Dodoma waongezeka kwa asilimia 6.3

Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira imefanikiwa  kupunguza upotevu wa maji kutoka wastani wa asilimia 39.1 na kufika asilimia 28.3 Disemba  mwaka 2022. Na Selemani Kodima . Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira mkoani Dodoma DUWASA imetaja…

25 January 2023, 4:40 am

Upatikanaji wa Maji Mlowa barabarani bado ni changamoto

Na; Victor Chigwada.                                              Licha ya maboresho kufanywa katika kisima cha maji katika kata ya Mlowa barabarani  lakini bado upatikanaji wa huduma ya maji katika kata hiyo unasuasua. Wananchi wa Kata ya Mlowa barabarani wamesema kuwa licha ya uwepo wa kisima…

21 January 2023, 10:13 am

Wakazi wa Igungulile walazimika kutumia maji ya Mabwawa

Na; Victor Chigwada.                                                 Kukosekana kwa huduma ya Maji safi na salama imetajwa kuwa ni sababu ya Wananchi wa kijiji cha Igungulile wilayani Chamwino kutumia  maji ya mabwawa. Mwenyekiti wa kijiji cha Igungulile Bw.Hamisi Msangi amesema changamoto ya maji imesababisha wananchi…

20 January 2023, 3:12 pm

Serikali yatatua kero ya maji Mvumi Misheni

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mvumi misheni Wilayani Chamwino wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa juhudi za kutatua changamoto ya maji Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa kujengwa kwa mradi  huo wa …

20 October 2022, 12:20 pm

Wakazi wa Chenene walia na uhaba wa maji

Na; Benard Filbert. Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo . Taswira ya habari imefika katika kijiji cha Chenene nakujionea hali halisi ya upatikanaji…

19 October 2022, 8:57 am

Serikali yaahidi kutatua changamoto ya maji Chunyu

Na;Mindi Josph . Serikali imeahidi kuchimba visima vya maji ili kutatua changamoto ya maji inayowakabili wananchi  wa kijiji cha chunyu wilayani Mpwapwa. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wamesema hadi sasa wanatumia maji chumvi ambayo…