Wizara ya Afya
19 May 2023, 3:45 pm
Mgogoro wa maji Subugo kutafutiwa ufumbuzi
Viongozi wa Kijiji wametakiwa kuwa wabunifu kutambua fursa za kiuchumi zilizopo katika maeneo yao kama kilimo chenye tija ili waweze kuwakwamua wananchi kiuchumi na kupata maendeleo. Na Bernadetha Mwakilabi. Mgogoro wa maji uliopo kitongoji cha Subugo kati ya Serikali ya…
10 May 2023, 6:17 pm
DUWASA watangaza utiaji saini wa mkataba wa Mradi wa kuboresha na kutibu maji ta…
Gharama za mradi wa Usanifu na Ujenzi WA UBORESHAJI HUDUMA YA UONDOSHAJI NA KUTIBU MAJITAKA unategemea kugharimu Dola za Marekani milioni (70) sawa na Shilingi za Tanzania bilioni 164.85. Na Selemani Kodima. Katika kukabiliana na ufanisi mdogo wa miundombinu ya…
9 May 2023, 4:26 pm
Kongwa kufuatilia miradi yote ya maji inayotekelezwa wilayani humo
Miradi mingi ya maji inayo onekana kusua sua inakwamisha utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho. Na Benadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imeahidi kufatiliana kufanyia kazi miradi yote ya maji inayotekelezwa wilayani humo ili kuondoa…
2 May 2023, 3:06 pm
DUWASA kutatua changamoto ya maji Nala
Mkoa wa Dodoma, umekuwa na Uendelezaji wa vyanzo vya maji (uchimbaji wa visima na ujenzi wa mabwawa) kwa kutumia vyanzo vikuu kama vile Uchimbaji wa visima virefu 34. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma imesema…
26 April 2023, 5:11 pm
Mlowa Bwawani walalamika ujenzi wa Tanki kutokamilika
Mradi huo ulitarajiwa kukamilika ndani ya Mwezi mmoja baada ya kutambulisha october 30 2022 lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea kutokana na changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji Cha Mlowa Bwawani Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia kutokukamilika kwa…
25 April 2023, 5:53 pm
Wakazi wa Chamwino watakiwa kutunza miundombinu ya maji
Itakumbukwa kuwa Mwaka 2020 jiwe la msingi la Mradi huo liliwekwa ikiwa ni ishara ya kuanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa tenki la maji Buigiri ambapo April 25 Mwaka huu . Na Seleman Kodima. Ikiwa leo ni maadhimisho ya…
12 April 2023, 6:35 pm
Wananchi wengi hawafahamu gharama za maji kwa lita
Tayari DUWASA imeomba marekebisho ya bei za maji hadi mwaka 2026 ili kukidhi marekebisho ya miundombinu ya maji. Na Mindi Joseph. Kwa Mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Nishati na Maji Ewura CCC…
12 April 2023, 4:46 pm
Ibihwa watarajia kuondokana na adha ya maji
Mradi wa maji kata ya Ibihwa unatekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia RUWASA wilaya ya Bahi na kusimamiwa na kampuni ya Prest Water and Civil works. Na Bernad Magawa Mradi mkubwa wa maji unaojengwa katika kijiji cha Ibihwa unatajiwa kuanza…
10 April 2023, 12:53 pm
Kukatika kwa Umeme kunaathiri upatikanaji wa maji Kongwa
Duwasa imeendelea kuhimiza utunzaji wa miundombinu ya maji safi iliyopo katika maeneo yao ili iweze kudumu kwa muda mrefu. Na Miandi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imesema kukatika mara kwa mara kwa huduka ya umeme…
3 April 2023, 6:05 pm
Visima Nzuguni vitaongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 75
kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya 2022 idadi ya watu katika Mkoa wa Dodoma imeongezeka kutoka milioni 2.085 ya mwaka 2012 hadi milioni 3.085, ongezeko hilo limekuja na upungufu wa huduma mbalimbali ikiwemo ya maji. Na Mindi…