Wizara ya Afya
4 July 2023, 4:39 pm
Zaidi ya shilingi millioni 300 kujenga miundombinu ya maji Kigwe
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
28 June 2023, 5:41 pm
Milioni 560 kutatua kero ya maji Bahi
Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umeendelea kuwa changamoto katika baadhi ya vijiji mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph. Milioni 560 zinatarajiwa kutumika katika kuchimba kisima cha maji ndani ya kijiji cha Uhelela wilayani Bahi mkoani Dodoma ambacho kitahudumia…
27 June 2023, 5:08 pm
Jumuiya za watumia maji Mpwapwa zatakiwa kuunganisha nguvu na serikali
Amewataka watendeji kuendelea kusisitiza suala la utunzaji wa mazingira ili kuokoa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Fred Cheti. Jumuiya za watumia maji katika halmsahuri ya wilaya ya Mpwapwa zimeaswa kuunganisha nguvu na serikali kwa kutoa ushirikiano utaokaosaidia kuundwa utaratibu…
9 June 2023, 3:22 pm
Utiaji saini makabidhiano mradi wa maji kutoka RUWASA kwenda DUWASA
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Mheshimiwa White Zuberi amesema kuwa Serikali inawajali na kuwathamini wananchi wake ndio maana inapambana kuzitatua changamoto za Maji. Na Bernadetha Mwakilabi. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amesema kuwa ni…
9 June 2023, 12:44 pm
Huduma ya maji nchini sasa 88% mijini, 77% vijijini
Aidha ametoa wito kwa jamii kuzingitia sheria na kulinda miundombinu ya maji ili kuunga mkono jitihada za upatikanaji wa huduma ya maji nchini. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa hali ya upatikanaji wa huduma ya maji nchini imeendelea kuimarika na kufikia…
7 June 2023, 5:06 pm
Bahi: Adha ya maji Lamaiti yafikia tamati
Mradi huo uliojengwa kwa hisani ya shirika la Water Mission ukigharimu zaidi ya milioni 800 za kitanzania, ni moja ya miradi mikubwa ya maji wilayani Bahi na umetatua changamoto za maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji hicho cha…
2 June 2023, 1:21 pm
Wakazi kata Ntyuka kuondokana na adha ya maji
Na Selemani Kodima. Wakazi 4,441 wa mitaa ya Chimalaa na Nyerere kata ya Ntyuka jijini Dodoma wanatarajiwa kuondokana na adha ya kutopata uhakika wa maji safi na salama baada ya uzinduzi wa mradi wa maji wa Ntyuka Chimalaa kukamilika .…
1 June 2023, 5:38 pm
Mradi uchimbaji visima vya maji kunufaisha wakazi Nzuguni
Mradi huo wenye mikataba minne una thamani ya sh. Bilioni 4.8. Na Mindi Joseph. Wakazi 37,929 katika kata ya Nzuguni mkoani Dodoma wanatarajia kunufaika na utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji unaotarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu.…
29 May 2023, 8:09 pm
Wananchi Bahi Makulu kupelekewa huduma ya maji
Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji safi katika kijiji cha Bahi Makulu ili kuwaondolea adha wananchi kutokana na kutokuwepo kwa huduma hiyo kijijini hapo. Nollo ameyasema hayo Mei 28, 2023…
29 May 2023, 7:39 pm
Kongwa: Wananchi waridhia kuhama kupisha chanzo cha maji
Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wa kitongoji cha Kawawa kilichopo katika mamlaka ya mji mdogo Kibaigwa wilayani Kongwa wameridhia kuhama ili kupisha eneo la chanzo cha maji lililopo kitongojini hapo lenye ukubwa wa hekari 28. Hayo yamejiri mapema katika ziara yake…