Dodoma FM
Dodoma FM
June 10, 2025, 6:46 pm
Walimu wote nchini watakiwa kufundisha kwa weledi nakujua kuwa watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwako katika kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo katika sekta ya elimu Na Mariam Mallya Naibu Waziri wa Tamisemi anayeshughulikia elimu, Zainab Katimba amesema hayo wakati akizindua…
10 June 2025, 18:14
Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya limetoa onyo kali kwa madereva wazembe kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuzuia ajali na kulinda maisha ya watumiaji wote wa barabara Na Samwel Mpogole Siku moja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
June 10, 2025, 3:06 pm
Imeelezwa kuwa daraja hilo pindi litakapokamilika litawasidia wananchi wa halmashauri ya Momba na Tunduma kurahisisha shughuli za usafirishaji yakiwepo mazao. Na: Denis Sinkonde Momba.Serikali imeanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa mita 54 linalounganisha halamashauri ya Momba na Tunduma wilaya…
June 4, 2025, 10:46 am
Mashuuda wa tukio la ajari katika eneo la soko kuu la mazao wilayani kasulu na wametaja sababu zilizopelekea ajarihiyo kutokea katika eneo hilo. Na: Emily Adam Mwanaume anayejulikana kwa jina la Erick Wanguwangu amejeruhiwa baada ya kuongwa na gari aina…
May 14, 2025, 11:30 am
Ni chakula cha asili, wanadai wanakipenda kuliko nyama ya ng’ombe au mayai Na Mwandishi Wetu Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wametoa wito wa kuenzi vyakula vya asili kikiwamo kikanda maarufu kwa jina la kinaka. Wakizungumzia kuhusu…
12 May 2025, 2:36 pm
Jamii za kifugaji zimekuwa haziwapi nafasi wanawake ya kuwa viongozi kutokana na mfumo dume. Wengi wa wanajamii kutoka ndani ya jamii hiyo wakiwa na imani kwamba mwanamke hawezi kuongoza wanaume. Na Saitoti Saringe
30 April 2025, 5:36 pm
Taswira ya habari imezungumza na mashuhuda pamoja na mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya tukio hilo. Na Kitana Hamis. Kijana mmoja aliye Famika kwajina la Mohamed Khamisi mwenye umri wa Miaka 22 Mkazi wa Ndirigishi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara amemuuwa…
17 April 2025, 10:22 am
Uwepo wa sheria ya uhifadhi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 inalenga kuhifadhi mazingira na si vinginevyo. Na Sabina Martin- Rungwe Imeelezwa kuwa uwepo wa sheria ya mazingira inayokataza shughuli za kibinadamu ndani ya mita sitini kutoka katika chanzo…
5 April 2025, 8:29 am
Katibu mpya CCM Hai apokelewa kwa matarajio makubwa ya mageuzi ya kisiasa Na James Gasindi. Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai, tarehe 4 Aprili 2025, imeshuhudia tukio muhimu la makabidhiano rasmi ya ofisi ya Katibu…
6 March 2025, 6:09 pm
Mpaka sasa jumla ya mashahidi wanne (4) upande wa mashtaka wametoa ushahidi wao, mshtakiwa amerejeshwa rumande hadi 19/03/2025 kesi hiyo itakaposikilizwa tena . Na Kitana Hamis.Ally Bahi mwenye Umri wa miaka 37 Mkazi wa Kijiji Cha Ndaleta Wilayani Kiteto Mkoani…