Dodoma FM
Dodoma FM
15 October 2025, 3:07 pm
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…
12 February 2025, 4:30 pm
Inaelezwa kuwa ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika mara kwa mara na kupelekea madhara makubwa kwenye jamii. Na Kitana Hamis.Wananchi Wilayani Kiteto mkoani Manyara wameeleza sababu zinazo pelekea kuvunjika kwa ndoa Mara kwa mara. Baadhi ya Wananchi Wilayani Kiteto wameeleza sababu mbali…
26 September 2024, 7:51 pm
Na Lilian Leopold Kutengana kwa wazazi katika ndoa kumeathiri watoto kwa kiasi kikubwa hasa katika suala la malezi. Baadhi na wazazi mkoani Dodoma wametoa maoni yao juu ya athari zinazowakabili watoto juu ya kuvunjika kwa ndoa. Wakitaja baadhi ya athari…
18 January 2024, 15:33
Na Ezra Mwilwa Wakulima wa zao la chai wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameviomba vyama vya ushirika kuwalipa mapema malipo yao ili waweze kuendeleza kilimo hicho kwa ufanisi. Mwenyekiti wa wakulima hao Ndg. Asajile Mwasampeta amesema wamekua wakipata changamoto ya…
19 December 2023, 20:22
Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt. Francis K. Michael, amezindua zoezi la ugawaji miche ya Kahawa, miti ya Mbao, matunda na vivuli zaidi ya Million sita na kusisitiza jamii kuhamasika kupanda miti kwa wingi kwa faida…
15 December 2023, 5:56 am
Kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo kupitia taarifa yake ya mwaka 2021 uzalishaji wa mazao ulikadiriwa kufikia tani mil.4 kwa mwaka lakini tani mil.1.5 hupotea kutokana na teknolojia duni. Uchakataji wa mazao nchini hasa kwa wakulima wadogo bado imeendelea kuwa…
11 December 2023, 12:42
Wanyama waharibifu kwa mazao ya chakula aina ya Ngedere wamevamia mashamba ya wananchi wa Ipande na kula mazao shambani. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazao unaofanywa na wanyama aina ya ngedere wakulima wa Kata ya Ipande…
29 November 2023, 22:53
Baadhi ya wakulima wa zao la strobeli wilayani Rungwe.Picha na James Mwakyembe Tathmini ya kuangazia mafanikio ya zao la Strobeli wilayani Rungwe yamefanyika yakiongozwa na msemaji wa shirika lisilo la kiserikali Shoma Nangale.Na Nsangatii Mwakipesile Baada ya kutambulishwa rasmi kwa…
28 November 2023, 11:49
Baada ya kushindwa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa umwagiliaji wa Makwale hapa wilayani Kyela wananchi wanaunda kata za Makwle,Ndobo na Lusungo wameiomba serikali ya halmaashsuri ya wilaya ya kyela kuingilia kati kukamilika kwa mradi huo.Na Nsangatii Mwakipesile Kutokana na…
20 November 2023, 12:24 pm
Geita kuondoa vikwazo kwa wakulima ikiwemo kutatua changamoto ya upatikanaji wa mbolea ili kufikia malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa wingi. Na Mrisho Sadick – Geita Mkoa wa Geita umekusudia kuzalisha Hekta zaidi ya laki tano za chakula…