Dodoma FM

ndoa

17 May 2022, 11:24 am

Maeneo ya kilimo cha umwagiliaji yatakiwa kuainishwa.

Na; Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuainisha maeneo yanayofaa kwa umwagiliaji ambayo ni hekari milioni 29 . Akizungumza katika uzindua Bodi ya Wakurugenzi jijini Dodoma Waziri Bashe ameitaka bodi hiyo kuziweka…

5 May 2022, 2:00 pm

Wananchi watakiwa kutambua umuhimu wa Mbaazi

Na; Leonard Mwacha. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa zao la mbaazi kuwa lina manufaa makubwa katika matumizi mbalimbali pamoja na biashara. Wito huo umetolewa na, Mkurugenzi wa  wa asasi siyokuwa ya serikali SEIDA Bw. Fredrick Ogenga, kupitia warsha…

2 August 2021, 1:46 pm

Sheria ya ndoa jinsi inavyo leta mkanganyiko kwa jamii

Na; Benard Filbert. Serikali imeombwa kuangalia upya sheria ya ndoa ya mwaka 2002 ambayo inamruhusu mtoto wa kike kuoelewa chini ya miaka 18 kwani imekuwa ikileta mkanganyiko katika jamii huku baadhi yao wakilazimika kukatisha masomo yao. Hayo yameelezw na Emmanuel…