Dodoma FM

Nafasi ya wanawake

12 September 2023, 11:42 am

Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo

Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…

29 August 2023, 4:32 pm

Dodoma wafurahishwa ongezeko la mtama sokoni

Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana  na changamoto ya udumavu pamoja na  unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…

8 August 2023, 2:55 pm

Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa

Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…

7 August 2023, 2:52 pm

Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA

M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…

31 July 2023, 5:34 pm

NIRC kujenga mabwawa 100 nchi nzima

Hatua hiyo itafanya kuwa na  mabwawa 114 ambayo yatawasaidia wakulima kuwa na Kilimo Cha uhakika. Na Seleman Kodima. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC imewahakikishia wananchi kuwa hakuna mradi wowote umesimama kwa sababu ya fedha bali zipo hatua ambazo lazima…

28 July 2023, 4:21 pm

Wahitimu BBT kwenda JKT mafunzo ya uzalendo

Mnamo Tarehe 23 Februari, 2023 serikali kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza awamu ya kwanza ya majina 812 ya vijana waliochaguliwa kujiunga katika programu ya Building Better Tomorrow: Youth Initiative in Agribusiness (BBT-YIA). Serikali kupitia programu hii itawawezesha vijana kushiriki kilimo…

26 July 2023, 5:42 pm

Serikali yatakiwa kuhamasisha vijana kujikita katika kilimo

Kartika kupunguza changamoto ya ajira na ugumu wa maisha kwa vijana nchini serikali imeendelea kusisitiza juu ya suala la kilimo biashara kwa kuanzisha programu mbalimbali kwa lengo la kuwawwezesha kujikwamua kiuchumi ikiwa ni katika kuanzisha mashamba ya kilimo pamoja na…

25 July 2023, 5:01 pm

Nini siri ya kilimo cha mpunga wilayani Bahi?

Wakulima wa eneo hilo wanadai kuwa hawapendelei kutumia mbolea katika kilimo cha mpunga. Na Yussuph Hassan. Licha ya watu wengi kuamini kuwa mkoa wa Dodoma ni eneo kame lakini eneo hili linafaa pia kwa kilimo. Wakazi wa wialaya ya Bahi…