Dodoma FM

Michezo na burudani

31 January 2024, 7:36 am

Zoezi la uzoaji taka lasuasua baadhi ya maeneo Jijini Dodoma

Ni hivi karibuni Dodoma Tv iliripoti uwepo wa mkusanyiko wa taka katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la Nyerere square. Na Thadei Tesha. Kuharibika kwa magari ya kuzolea taka katika maeneo mbalimbali Jijini Dodoma imetajwa kuwa miongoni mwa sababu inayochangia baadhi…

18 January 2024, 8:44 am

Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira

Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…

7 November 2023, 5:13 pm

Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka

Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka  na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…

24 October 2023, 1:38 pm

NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira

Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…