Michezo na burudani
31 January 2024, 7:36 am
Zoezi la uzoaji taka lasuasua baadhi ya maeneo Jijini Dodoma
Ni hivi karibuni Dodoma Tv iliripoti uwepo wa mkusanyiko wa taka katika maeneo mbalimbali ikiwemo eneo la Nyerere square. Na Thadei Tesha. Kuharibika kwa magari ya kuzolea taka katika maeneo mbalimbali Jijini Dodoma imetajwa kuwa miongoni mwa sababu inayochangia baadhi…
18 January 2024, 8:44 am
Kongwa watakiwa kushiriki katika utunzaji wa mazingira
Zoezi la upandaji miti limehusisha kamati ya usalama ya Wilaya, Wakuu wa Divisheni na Vitengo, wananchi na watumishi ambapo Mhe. Mayeka alipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa zoezi. Na Alfred Bulahya.Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka…
11 January 2024, 7:20 pm
TCDC yazindua kampeni ya upandaji miti kwa vyama vya ushirika
Tume hiyo inasimamia vyama vya ushirika nchini na vilivyopo hadi sasa ni 7400 na zoezi hilo litafanyika nchi nzima. Na Fred Cheti. Kampeni ya upandaji miti kwa vyama vya ushirika imezinduliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) ili kuunga…
11 January 2024, 6:34 pm
Mitaro inayopitisha maji yakwamisha shughuli za wakazi wa Ihumwa A
Ni miaka miwili sasa Wananchi wa Mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wanalalamikia mchangamoto hiyo licha ya juhudi kubwa iliyofanywa mwaka jana na kampuni ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Yap Markez kuchimba mtaro huo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa…
20 December 2023, 4:43 pm
Mrundikano wa taka soko la samaki Bonanza wahatarisha afya za wananchi
kwa mujibu wa wafanyabiashara wa soko hili wanadai ni muda mrefu tangu kuanza ujenzi wa soko hili na iwapo litakamilika linatarajiwa kupunguza athari mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara hao. Na Thadei TeshaWafanyabiashara wa soko la Bonanza Jijini Dodoma wameulalamikia uongozi wa Jiji…
13 December 2023, 7:34 pm
Utiririshaji wa maji taka waweka mashakani afya za wakazi wa mtaa wa Majengo
Ubovu wa miundombinu ya maji taka hasa kipindi cha masika inatajwa kuwa ni hatari kwa afya ya binadamu kutokana na kutiririka kwa maji taka ambayo huambatana na uchafu wa kila aina. Na Khadija Ibrahim. Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa…
14 November 2023, 5:58 pm
Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasicha…
Leo tunaangazia jinsi Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasichana. Na Mariam Matundu. Mariam matundu awali alizungumza na mwanaharakati wa maswala ya mabadiliko ya tabia nchi na haki za wasichana fower malle na ameanza kumuuliza…
7 November 2023, 5:13 pm
Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka
Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…
1 November 2023, 12:37 pm
Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri shughuli za kilimo-Makala
Mabadiliko ya Tabianchi ni mabadiliko ya hali ya hewa ya muda mrefu katika eneo fulani (Mkoa, Nchi au Bara) tofauti na iliyozoeleka. Mabadiliko hayo huleta athari katika nyanja za kiuchumi, kimazingira na kijamii. Na Alfred Bulahya. Tunapata kusikia kisa cha…
24 October 2023, 1:38 pm
NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira
Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…