Michezo na burudani
5 June 2023, 7:11 pm
Dkt. Mpango ahimiza wananchi kuendelea kupiga vita matumizi mifuko ya plastiki
Juni 5 ya kila mwaka ni siku ya mazingira duniani, sikuu hii inaadhimishwa kuhusu umuhimu wa mazingira kwa maisha ya binadamu. Na Fred Cheti Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amewataka Watanzania…
9 May 2023, 3:11 pm
NEMC yatoa mrejesho juu ya kufungia sehemu zenye kelele chafuzi
Mnamo tarehe Moja Mei mwaka huu baraza hilo la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC) lilitangaza kuanza opresheni ya kukamata na kufungia maeneo ya kumbi za strehe,nyumba za ibada pamoja na maeneo mengine yanayosababisha mitetemo na kelele kinyume…
5 May 2023, 2:45 pm
Wawekezaji watakiwa kufanya tahmini ya athari za mazingira
Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…
3 May 2023, 1:59 pm
Wananchi Ng’ambi watakiwa kutunza mazingira
Amesema mazingira yakitunzwa vema yanaweza kutengeneza fursa mbalimbali kwa wananchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka wananchi wa kijiji cha Ng’hambi wilaya humo kuwa mabalozi wa utunzaji wa mazingira illi kutengeneza fursa nyingi za…
2 May 2023, 3:49 pm
Wakazi wa Msalato waomba mazingira ya mnada kuboreshwa
Mnada wa nyama msalato ni miongoni ma maeneo maarufu ya asili ambapo wananchi hufika kwa ajili ya kujipatia nyama choma . Na Thadei Tesha. Wakazi wa Msalato Jijini Dodoma wameiomba serikali kuboresha mazingira ya eneo la mnada wa msalato ambao…
2 May 2023, 1:23 pm
Wafanyabiashara watakiwa kutunza mazingira
Mifuko ya plastiki ilipigwa marufuku kutumika hapa chini hii ni kutokana na wataalamu mbalimbali wa maingira kubainisha kuwa matumizi ya mifuko hiyo huongoza katika suala la uchafuzi wa mazingira. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa…
20 April 2023, 11:05 am
Taasisi na vituo vinavyo hudumia watu wengi kupigwa marufuku kutumia mkaa na k…
Watu wengi hutumia nishati hiyo kwa sababu ni rahisi kupatikana na wanaweza kumudu gharama yake tofauti na nishati nyingine kama umeme na gesi. Na Fred Cheti. Inaelezwa kuwa zaidi ya hekta 46,960 za misitu huharibiwa kila mwaka nchini kwa ajili…
18 April 2023, 6:06 pm
NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa
Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…
18 April 2023, 2:07 pm
Serikali yawataka wamiliki na wasambazaji wa mifuko ya plastiki kujisajili
Hivi karibuni Baraza la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira NEMC kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Dkt Samuel Gwamaka lilitoa maelezekezo kwa wamiliki na wazalishaji wa mifuko ya plastiki nchini kuhakikisha wanajisajili. Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni kupitia baraza la hifadhi…
11 April 2023, 1:00 pm
Serikali yapiga marufuku matumizi ya vifungashio vya plastiki
Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria ambapo imeahidi kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…