Dodoma FM
Dodoma FM
5 December 2023, 12:49 pm
Wilaya tatu za mkoa wa Morogoro zimenufaika na umeme wa vijijini- REA, baada ya kituo cha kupozea umeme kilichopo Ifakara kata ya Kibaoni kuwashwa na kuanza kazi. Na; Isidory Mtunda Wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga mkoani Morogoro kunufaika na…
November 1, 2023, 11:27 am
Hivi karibuni Makamu wa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh Philipo Mpango alizindua mtambo wa kuzalisha umeme ijangala wenye kilowati 360 kutokana na umuhimu wa umeme katika shughuli mbali mbali na wengi wao kujiajiri kupitia umeme wadau mbali…
3 October 2023, 11:04 am
Dhamira ya serikali ya awamu ya sita nikufikisha umeme katika vijiji zaidi ya elfu 12 hapa nchini imeendelea kuonekana baada ya serikali kuendelea kufikisha huduma hiyo vijijini. Na Mrisho Sadick: Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imefikisha nishati ya umeme kwenye…
September 30, 2023, 8:18 pm
Mradi huo wa umeme uliopo Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda utazinufaisha nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi. Na, Laurent Gervas Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Mashaka Biteko amesema mradi wa kufua umeme wa maporomoko…
25 July 2023, 4:30 pm
Wamiliki hao wameiomba serikali iimarishe upatikanaji wa dola ili zisaidie katika biashara hiyo. Na Fred Cheti. Wamiliki wa maghala ya mafuta nchini wameihakikishia Serikali kuhusu upatikanaji wa mafuta wakisema wana petroli na dizeli za kutosha na wapo tayari kutoa ushirikiano…
11 July 2023, 7:08 pm
Nini sababu ya watu kushindwa kutumia nishati safi na badala yake kuendelea na matumizi ya kuni na mkaa?. Na Aisha Shaban. Wakati serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi na rafiki kwa mazingira baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma…
6 July 2023, 6:21 pm
Kundi la watu zaidi ya 20 limefurushwa kwa madai ya kutaka kuiba nyaya za umeme zilizokuwa zimehifadhiwa katika shule ya sekondari. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Kaduda Kata ya Katoro wilayani Geita wamezima jaribio la wizi wa nyaya…
3 July 2023, 5:37 pm
Mradi wa kusambaza umeme katika Maeneo ya pembezoni mwa miji awamu ya pili wilayani kongwa umegharimu Bilion Moja Milion miatano themanini na tatu laki nane tisini na tisa elfu mia nne sabini na nane na senti sita 1,583,899,478.06 Na Mindi…
15 May 2023, 7:49 pm
Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na ukame, mafuriko, vimbunga, mioto ya misitu vimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa. Na Alfred Bulahya. Wakati mataifa yote ulimwenguni yakipambana kuzuia ongozeko la joto…
10 May 2023, 7:24 pm
Hivi karibu Serikali kupitia wizara ya Nishati wanakusudia kuongeza mafungu katika Mfuko wa Nishati Vijijini ili kuongeza kasi ya kufikisha umeme katika vitongoji 36,336 . Na Victor Chigwada. Inaelezwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu kwa maendeleo ya jamii ikiwamo…