Dodoma FM
miamala
1 September 2021, 1:06 pm
Wakazi wa Jiji la Dodoma waipongeza Serikali kwa kufanya marekebisho sheria ya t…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wamepongeza hatua ya Serikali kufanyia marekebisho sheria mpya ya tozo za miamala huku wakiomba serikali kuendelea kuangalia namna ya kupata fedha za kuboresha huduma za kijamii Nchini. Wakizungumza na taswira ya habari kwa nyakati tofauti…