DOYODO
21 December 2023, 5:47 pm
Tatizo la afya ya ngozi latajwa kuchangia muwasho wa jicho
Dkt. Salumu amesema matatizo ya ngozi pamoja na matumizi ya sabuni za aina tofauti husababisha mtu kupatwa na tatizo hilo. Na Aisha Alim. Tatizo la macho kupatwa na muwasho linataja kusababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo tatizo la afya ya ngozi…
20 December 2023, 1:46 pm
Waganga wa wilaya watakiwa kutumia vema magari ya yaliyo tolewa na serikali
Ikumbukwe Dodoma ina jumla ya Vituo vya afya 545 ambapo hospitali ni 16,Vituo vya afya 63,zahanati 438 na kliniki maalum 26 . Na Mariam Kasawa. Waganga wakuu wa wilaya wametakiwa kutumia Vyema magari yaliyotolewa na Serikali kwa ajili ya kwenda…
18 December 2023, 9:43 pm
Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…
27 November 2023, 4:43 pm
Mahama walalamika fedha za ujenzi wa zahanati hazitoshelezi
Hatua ya Ujenzi wa Mradi huo ni utekelezaji wa Wananchi kushiriki katika utatuaji wa changamoto hasa Afya ambapo Sera ya afya ya Mwaka 2007 inaelekeza kila kijiji kinatakiwa kuwa na Zahanati. Na Victor Chigwada. Licha ya serikali kutoa fedha kwa…
19 November 2023, 10:53 am
Asilimia 11 ya akina mama nchini hujifungua kabla ya wakati kila mwaka
Siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati ilianzishwa kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto ambao bado hawajakomaa. Na Mindi Joseph. Maadhimisho ya siku ya watoto wanozaliwa kabla ya wakati yalifanyika Nov 17 katika hospital ya benjamini mkapa yakiwa yamebeba…
15 November 2023, 4:37 pm
Ugumu wa maisha wapelekea wagonjwa kushindwa kufuata ushauri wa kitaalam
Takwimu zinaonesha kuwa duniani kote chini ya asilimia 50 ya nchi zina serĂ¡ za kitaifa za kufanya mazoezi ya mwili na kati ya hizo ni asilimia 40 ndio zinazofanya kazi ni muda sasa Jamii kuwa na utamaduni wa Kufanya mazoezi…
14 November 2023, 4:21 pm
Ujenzi wa kituo cha Afya Mlowa barabarani kupunguza adha ya akina mama kujifungu…
Pamoja na uwepo wa Hospitali hiyo ya wilaya lakini bado wana mikakati ya kuboresha zahanati katika kijiji cha Mlodaa. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Mlowa Barabarani Wilayani Chamwino wamesema ujenzi wa kituo cha afya ndani ya Kata yao…
13 November 2023, 3:13 pm
Sukari, shinikizo la damu isipotibiwa mapema husababisha matatizo zaidi
Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa endapo Magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu ya damu yasipopatiwa matibabu mapema yanaweza kusababisha magonjwa mengine makubwa. Magonjwa hayo ni pamoja na ugonjwa wa figo ambapo Dkt. Amina Omary kutoka Hospitali ya rufaa ya…
7 November 2023, 4:36 pm
Wananchi watakiwa kuacha matumizi ya maziwa mabichi
Baadhi ya watu wanaokunywa maziwa mabichi huenda wasielewe kikamilifu hatari na huenda wasijue uwezekano wa kupata ugonjwa kutokana na bakteria katika maziwa . Na Aisha Alim. Bodi ya maziwa nchini imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuepuka matumizi ya maziwa…
7 November 2023, 12:34 pm
Mimba za utotoni zapungua nchini kwa 5%
Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyofanikiwa kupunguza mimba za utotoni kwa kiwango kikubwa . Na Mariam Matundu. Ripoti ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na viashiria vya malaria ya mwaka 2022 imeonesha Tanzania imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni…