DOYODO
21 October 2022, 10:42 am
Ukosefu wa wahudumu wa Afya katika Zahanati ya Chunyu wapelekea huduma hafifu
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa Wahudumu wa afya katika zahanati ya Chunyu wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa changamoto inayowakabilia wananchi pindi waendapo kupata huduma nyakati za Usiku Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw Abineli Masila amesema zahanati hiyo…
12 October 2022, 11:30 am
CVT kutoa vipimo bure siku ya uono Duniani
Na; Alfred Bulahya Kuelekea siku ya Uono Duniani octoba 13, Clinic ya Macho ya CVT iliyopo Jijini Dodoma imepanga kutoa huduma za upimaji wa macho bure katika siku hiyo na kutoa huduma ya upasuaji na miwani kwa gharama nafuu ili…
5 September 2022, 1:30 pm
Kamati ya bunge yaridhishwa na mradi wa Timiza malengo
Na; Benard Filbert. Kamati ya Kudumu ya Bunge inayosimamia Masuala ya UKIMWI, Kifua Kikuu , Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoambukiza imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Timiza Malengo unaotekelezwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) unaolenga kuwawezesha vijana…
1 September 2022, 2:04 pm
Magonjwa yasiyopewa kipaumbele yapelekea fuko wa bima ya Afya NHIF kuelemewa
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema uwepo wa ongezeko kubwa la magonjwa yasiyo ya kuambukiza imechangia kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF). Kauli hiyo imekuja baada ya Kutokea kwa sitofahamu iliyoibuka hivi karibuni…
17 May 2022, 2:11 pm
Asilimia kumi ya Watu duniani wanaishi na magonjwa sugu ya figo
Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa Shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari ni vyanzo vya figo kushingwa kufanya kazi na kusababisha kusambaa kwa sumu mwilini endapo mgonjwa asipopata matibabu kwa wakati. Akizungumza na kituo hiki Daktari bingwa wa Magonjwa ya…
11 May 2022, 2:34 pm
Taasisi za lishe zatakiwa kubadilishana uzoefu ili kupambana na utapiamlo
Na; Selemani Kodima. Wizara na Taasisi zinazohusiana na masuala ya lishe nchini zimetakiwa kushirikiana na kubadilishana uzoefu katika mapambano dhidi ya Utapiamlo kuhakikisha jamii na Taifa linakuwa salama. Akizungumza katika mafunzo ya kujenga uelewa kuhusu Mpango wa Pili Jumuishi wa…
10 May 2022, 2:02 pm
Vyuo vya Afya 20 kuchukuliwa hatua kwa kufanya udanganyifu
Na:Mindi Joseph. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Abel Makubi ameagiza NACTVATE kuvi chukuliwa hatua Vyuo 20 vya afya vilivyokaguliwa na kufanya udanganyifu ili kulinda viwango vya taaluma ya afya Nchini. Akizungumza…
26 March 2021, 8:13 am
Uwajibikaji wa Vijana ni matunda ya kumuenzi Rais Magufuli
Na; Selemani Kodima Vijana Nchini wametakiwa kuendelea kuwajibika na kuonesha Uzalendo katika Majukumu yao ili kuenzi uzalendo ambao uliooneshwa na Hayati Rais Magufuli wakati wa Utawala wake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya maendeleo ya Vijana Dodoma DOYODO…