DOYODO
22 March 2023, 3:46 pm
Serikali yadhamiria kudhibiti na kutokomeza kifua kikuu
Immelezwa kuwa watu wenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kifua kikuu(TB) ni pamoja na wale wanaoishi katika makazi duni, Watoto, Wavuvi na wanafunzi wanaoishi bweni. Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa…
21 March 2023, 5:39 pm
Dkt. Mollel azungumza na wataalamu wa Afya.
Na Pius Jayunga. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka Wataalamu wa Afya kutomchukia pindi anapofanya maamuzi ya kumtoa Mganga Mkuu wa Wilaya kwani hufanya hivyo kwa nia njema ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi. Dkt. Mollel ametoa…
17 March 2023, 5:04 pm
Mapambano dhidi ya upungufu wa kuona unao epukika ifikapo 2030 yaendelea…
Kwa mujibu wa makadirio ya shirika la afya duniani WHO Sababu kubwa zikiwa ni mtoto wa jicho na shinikizo la macho. Na Mindi Joseph. Watu wenye matatizo ya kuona kwa kiwangao cha kati na cha juu hapa nchini wanakadiriwa kuwa…
13 March 2023, 5:49 pm
Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo
Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji Figo umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…
8 March 2023, 1:40 pm
Wananchi waishukuru serikali kwa kusaidia ujenzi wa kituo cha afya
Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya kwa kuwasaidia ujenzi. Na Victor chigwada. Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya…
1 March 2023, 4:27 pm
Shule ya msingi Chihoni yapokea msaada wa vyandarua
Halmshauri ya jiji la Dodoma inaendelea na zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi na awali ambapo jumla ya wanafunzi wapatao 122,000 kutoka shule 158 wanatarajiwa kupatiwa vyandarua. Na Fred Cheti. Wanafunzi wa Shule ya Msingi…
28 February 2023, 6:18 pm
Serikali yasaini mkopo nafuu kuboresha huduma za Afya
Huduma zitakazo boreshwa ni pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuboresha huduma za dharura, kuboresha rasilimali watu katika Sekta ya afya, kuboresha utendaji na ufanisi kwenye ngazi ya zahanati. Na Pius Jayunga. Serikali ya Tanzania na Banki kuu…
24 February 2023, 4:20 pm
Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba
Licha ya kupata huduma katika zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino lakini bado kasi ya upatikanaji dawa imekuwa ni ndogo. Na Victor Chigwada. Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino imetajwa kuwa sababu ya wananchi…
20 February 2023, 12:29 pm
DC. Gondwe na kampeni ya kuku Robo matibabu mwaka mzima
Kwa sasa hospitali hiyo inatoa huduma zote muhimu zikiwemo huduma za wagonjwa wa nje, huduma za maabara, huduma ya Mionzi, upasuaji kwa wajawazito na upasuaji wa kawaida, huduma za watoto njiti ambazo hapo awali wananchi walilazimika kuzifuata Dodoma mjini, Na…
13 February 2023, 3:07 pm
Bima ya Afya kwa wote itasaidia kupunguza gharama za matibabu
Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote ambao ulikuwa uwasilishwe bungeni Wiki iliyopita ulikwama kwa mara nyingine ikiwa ni mara ya pili kwa muswada huo kukwama tangu usomwe kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano wa nane wa Bunge na…