Dodoma FM

Miundombinu

24 April 2024, 6:16 pm

Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato wafikia 54%

Hivi karibuni Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa alieleza kuwa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato umefikia asilimia 54.1 kwa sehemu ya kwanza. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato umefikia asilimia 54 na asilimia 21 katika…

18 April 2024, 5:45 pm

Je unashiriki vipi kutunza miundombinu ya barabara katika eneo lako

Serikali kupitia wakala wa barabara Nchini TANROADS wamekuwa wakitoa elimu kwa jamii kupitia majukwaa mbalimbali juu ya ushiriki wa wananchi katika utunzaji wa miundombinu ya barabara Nchini jambo ambalo linapaswa kutekelezwa na kila mwananchi. Na Thadei Tesha.Seriali imeendelea na juhudui…

3 April 2024, 6:13 pm

DUWASA yaendelea na ukaguzi miundominu ya maji taka

Katika zoezi hilo DUWASA imebaini kuzidiwa na miundombinu ya majitaka eneo la Makole. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeendelea na zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya majitaka katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma…

3 April 2024, 6:02 pm

Ujenzi wa daraja la Ng’ong’ona kufungua fursa za kiuchumi

Mikakati ya TARURA kuboresha Miundombinu ya barabara na madaraja katika mkoa wa Dodoma ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Na Fred Cheti.Ujenzi wa daraja la Ng’o’ng’ona lililopo katika Kata ya Ng’o’ng’ona Jijini Dodoma linalojengwa kwa teknolojia ya Mawe linatarajiwa kufungua fursa…

28 March 2024, 7:36 pm

Nzuguni A waishukuru Serikali kwa kuchonga barabara

Ni msimu wa kiangazi tu Barabra hii ilikuwa inapitika Lakini Msimu wa masika ilikuwa ni kikwazo. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Nzuguni A wameishukuru Tarura kwa Uchongaji wa barabara Kilometa 9.780 na uzibaji wa mashimo kwa kifusi katika mtaa huo…

5 March 2024, 6:48 pm

Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa

Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…

29 February 2024, 4:06 pm

Ubovu wa mitaro wapelekea maji kutuama kwa wingi Kizota

Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia vigezo vya ujenzi. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa Mtaa wa Relini Kata ya kizota wamelalamika kutuama kwa maji ya mvua kutokana na ubovu wa mitaro ya kutiririsha maji. Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia…