Miundombinu
21 October 2021, 2:05 pm
Ukarabati wa barabara katika kata ya mnadani utapunguza usumbumbufu kwa wakazi w…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa endapo ukarabati wa barabara unaoendelea katika mtaa wa Karume Kata ya Mnadani jijini Dodoma utakamilika utapunguza usumbufu kwa wakazi hao hususani kipindi Cha Mvua. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo wakati wakizungumza…
18 October 2021, 11:55 am
Wakazi wa kata ya Handali waaswa kuepuka kupitisha mifugo barabarani
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Handali wilaya ya Chwamwino mkoani Dodoma wameombwa kuepuka kupitisha mifugo kwenye barabara kuepuka uharibifu ambao umekuwa ukitokea. Hayo yanajiri kufuatia hivi karibuni kukamilika kwa marekebisho ya barabara za ndani katika kata hiyo.Akizungumza na…
27 September 2021, 11:56 am
Mlali bondeni waendeleza jitihada za kutatua changamoto za miundombinu ya daraj…
Na ;Selemani Kodima. Uongozi wa kijiji cha Mlali bondeni wilayani Kongwa umesema unaendelea kuchukua jitihada za kutatua changamoto ya miundombinu ya daraja linalounganisha mlali – chibarau ili kusaidia kupunguza matukio ya ajali katika eneo hilo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa…
24 September 2021, 9:50 am
Juhudi zahitajika ujenzi wa barabara katika kata Ibihwa
Na; Benard Filbert. Licha ya wakala wa barabara za Mijini na Vijini TARURA Wilaya ya Bahi kuanza ujenzi wa barabara katika kata ya Ibihwa Wilaya ya Bahi imeelezwa bado juhudi zinatakiwa ili kuondoa changamoto ambazo zimekuwa kero kwa wananchi hususuani…
24 September 2021, 9:08 am
Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kutunza miundombinu ya maji taka
Na; Thadey Tesha. Wito umetolewa kwa wananchi jijini Dodoma kutunza miundombinu ya maji hususani ya maji taka ili kuepuka athari za kiafya zinazoweza kujitokeza. Wito huo umetolewa na MwenyeKiti wa mtaa wa Kiwanja ch ndege Bw. Ignas Joseph baada ya…
16 September 2021, 12:45 pm
Uhaba wa maji katika kata ya Msanga wapelekea wananchi kununua maji kwa bei kubw…
Na ;Victor Chigwada. Changamoto ya uhaba wa maji katika Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umeendelea kuwa kilio kikubwa kwa wananchi na kusababisha maji kununuliwa kwa bei kubwa. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Msanga wameiomba Serikali kuwasaidia kupata…
20 August 2021, 12:42 pm
Msamalo wamshukuru waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani
Na; Selemani Kodima . Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umetoa shukrani kwa Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani kwa jitahada kubwa ambazo zimeendelea kufanywa kuhakikisha vijijiji vinavyopatikana katika kata hiyo vinapata huduma ya Umeme. Hayo yamesemwa na…
19 August 2021, 12:52 pm
Wakazi wa Chitabuli watakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja na bara…
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chitabuli Kata ya Membe Wilayani Chamwino wametakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja pamoja na barabara inayounganisha Kijiji hicho na Kijiji cha Membe. Akizungumza na Taswira ya Habari Diwani wa Kata ya…
18 August 2021, 2:02 pm
Wakazi wa Msanga walalamikia uchakavu wa barabara unao sababishwa na magari maku…
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamelalamikia uchakavua wa barabara unao sababishwa na magari makubwa yanayobeba madini ya mchanga katika kijiji cha msanga. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema licha…
12 August 2021, 11:27 am
Ukarabati wa barabara katika kata ya Dabalo utachangia kukua kwa maendeleo
Na; Benard Filbert. Kufuatia Kukamilika kwa ukarabati wa barabara za ndani ya kata ya Dabalo wilayani Chamwino itasaidia kukua kwa maendeleo ya wakazi wa kata hiyo. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata hiyo bwana Isihaka Rajabu wakati akizungumza na taswira…