Dodoma FM

Miundombinu

24 September 2021, 9:50 am

Juhudi zahitajika ujenzi wa barabara katika kata Ibihwa

Na; Benard Filbert. Licha ya wakala wa barabara za Mijini na Vijini TARURA Wilaya ya Bahi kuanza ujenzi wa barabara katika kata ya Ibihwa Wilaya ya Bahi imeelezwa bado juhudi zinatakiwa ili kuondoa changamoto ambazo zimekuwa kero kwa wananchi hususuani…

20 August 2021, 12:42 pm

Msamalo wamshukuru waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani

Na; Selemani Kodima . Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umetoa shukrani kwa Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani kwa jitahada kubwa ambazo zimeendelea kufanywa kuhakikisha vijijiji vinavyopatikana katika kata hiyo vinapata huduma ya Umeme. Hayo yamesemwa na…